Walimu wa masomo ya science pongezi kwenu

Walimu wa masomo ya science pongezi kwenu

Joined
Jan 28, 2018
Posts
13
Reaction score
5
Kwanza pongenzi kwenu kwa majukumu yenu. Ni kwaida sana katika nchi yetu kukuta mwalimu yuko peke yake katika shule husika.
Ni ukweli usiofichaka kuwa licha ya uwingi wa vipindi bado mlio wengi hufanyaka majukumu mengine kama WATAALAMU WA MAABARA.
Maajabu ni kuwa serikali bado haioni mchango wenu.Kibaya zaidi ni pale mnapoomba kuhama. Mnakataliwa wakidai hakuna watu wengine/Mbadala wenu.
 
Kwanza pongenzi kwenu kwa majukumu yenu. Ni kwaida sana katika nchi yetu kukuta mwalimu yuko peke yake katika shule husika.
Ni ukweli usiofichaka kuwa licha ya uwingi wa vipindi bado mlio wengi hufanyaka majukumu mengine kama WATAALAMU WA MAABARA.
Maajabu ni kuwa serikali bado haioni mchango wenu.Kibaya zaidi ni pale mnapoomba kuhama. Mnakataliwa wakidai hakuna watu wengine/Mbadala wenu.
 
Hii nchi hainq kipaumbele hats kimoha. Labda kununua .......
 
Elimu si Bure mnataka mpewe nini tena,remedial irudishwe au ada irudishwe ndio mfaidi.
 
Back
Top Bottom