shonkoso
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 687
- 1,455
Walimu wengi wanatokea kwenye familia zenye background ya kipato cha chini,wengi wamesoma shule za kawaida sana,wachache ninao wafahamu walio na degree walipata division one na two pekee sababu iliyofanya kuuchagua ualimu ni urahisi wa kupata mkopo na ajira,
Fuatilia wanafunzi wanaosoma Udsm Education,utashangaa baadhi wana division one hata point NNE au hata zaida ya hapo,watanzania tujifunze kuthamini kazi za watu wengine,walimu nao ni watu,wana hisia,natamani mngejua maisha wanaoishi huko vijijini,ambako maji,vyoo na huduma zingine ni just day dreaming.
Fuatilia wanafunzi wanaosoma Udsm Education,utashangaa baadhi wana division one hata point NNE au hata zaida ya hapo,watanzania tujifunze kuthamini kazi za watu wengine,walimu nao ni watu,wana hisia,natamani mngejua maisha wanaoishi huko vijijini,ambako maji,vyoo na huduma zingine ni just day dreaming.