LAPUA MAGNUM 338
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 431
- 1,225
Mkuu njaa haina adabuUle msemo wa msikini haaminiki ndo uliojidhirisha katika hiki kipindi.
Kitendo cha walimu kujitokeza kwa wingi kuomba kazi za kusimamia uchaguzi wakati wakijua hali ya kidemokrasia nchini haipo fair na ya kidhalimu, kimedhihilisha kuwa umasikini upelekea mtu kuwa mjinga.
Haya sasa walimu mmevuna mlichopanda mmejipeleka kufanya hiyo kazi pamoja kutangazwa dau dogo (elfu 30 kwa 35 kwa siku ×2 60/70) mkatii maagizo kutoka juu mkafanya mlio yafanya. Hii kazi ina laana sio bure.
Unachosema ni sahihi,na hayo ni mawazo yako inabid yaheshimiwe kwan una uhuru wa kutoa maon kadri uwezavyo,Lakin usiwahukumu walimu kwa fikra zako ulizonazo kwan Ushahid wa mawazo yako huna n sidhan kwamba Walimu wote wanaweza kufanya kitendo hicho ila huenda wapo baadhi ya wachache ambao sio waaminifu!,MIMI NI MWALIMU LAKIN SIJAFANYA HICHO KITENDO!.Ule msemo wa msikini haaminiki ndo uliojidhirisha katika hiki kipindi.
Kitendo cha walimu kujitokeza kwa wingi kuomba kazi za kusimamia uchaguzi wakati wakijua hali ya kidemokrasia nchini haipo fair na ya kidhalimu, kimedhihilisha kuwa umasikini upelekea mtu kuwa mjinga.
Haya sasa walimu mmevuna mlichopanda mmejipeleka kufanya hiyo kazi pamoja kutangazwa dau dogo (elfu 30 kwa 35 kwa siku ×2 60/70) mkatii maagizo kutoka juu mkafanya mlio yafanya. Hii kazi ina laana sio bure.
Mungu akibariki kwa kujitenga na uovu, mimi pia ni mwalimu lakini nilijitenga na huo uovu, ila nilisikitishwa na walimu wenzangu walìokimbilia hizo kazi huku wakijua halivyo,niliudhunika sana nilihurumia hii kada kwamba haitakaa iheshimiwe hata siku moja maana sisi wenyewe hatujiheshimu, wewe fikria inatangazwa kazi na dau la elfu 60 kwa sabini siku mbili walimu mbio mpaka hata vijana ambao hawana ajira wanalaumu walimu kuwaingilia kazi ambazo wangepata chochote kibaya zaidi ni hayo waliyoyafanya huku awali wakijua lazima yafanyikeUnachosema ni sahihi,na hayo ni mawazo yako inabid yaheshimiwe kwan una uhuru wa kutoa maon kadri uwezavyo,Lakin usiwahukumu walimu kwa fikra zako ulizonazo kwan Ushahid wa mawazo yako huna n sidhan kwamba Walimu wote wanaweza kufanya kitendo hicho ila huenda wapo baadhi ya wachache ambao sio waaminifu!,MIMI NI MWALIMU LAKIN SIJAFANYA HICHO KITENDO!.
Mimi nimesoma ualimu na division 2 (pcb) nimesoma nao wengi tu wana division 1 (pcm ) sema kingine mkuu.Ndiyo maana waliokuwa wanaingia ualimu walikuwa failures - wengi wao Division 4.
Acheni chuki kwa walimu..kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake!Inabidi uelewe jomba,kwenye tangazo la kazi iliandikwa hiyo pesa, hizo nyingine walizopewa ni bonasi baada kufanya kazi nzuri waliyoelekezwa.
Hao walimu unaowaita failures waliokusaidia mpaka ukajua kupenga kamasi na kuandika huu ujinga
Duh!Kuna mwalimu alinikanyaga bahati mbaya bar nilimsukuma vibaya Sana akadondoka chini haikuwa dhamira yangu ila hasira zilinipanda baada ya kukumbuka uchaguzi pia nimepa notice waondoke kwangu nataka kuuza nyumba yangu hivyo nairekebisha kumbe ni ili yaondoke. Ni mapangaji yangu. Msimu huu wa mvua nawamwagia matope makusudi na gari Mungu anisamehe.
Ukikutana na mtu akakwambia ye ni mwalimu mwangalie mara mbili mbili. Walimu ni choka mbaya
Umeshindwa kuficha ujinga wakoWewe ni mjinga, mbaya zaidi hujui kama ni mjinga.
Lissu kaenda belgium. Mfuate huko
Kumbe ni 70,000 kwa siku mbili?
What a shame aisee!
The whole country is poor,these people are really poor..I cant blame them kwakweli!
Hii country tunarudi kwenye poverty kwa mwendo wa hatari sana
Walimu
Polisi
Hawa watu sio bure aisee
Zamani ilikuwa hivyo. Division 4 na Division 0 walikuwa wanaenda ualimu na polisi. Wewe ni mtoto mdogo sana huwezi kuelewaHili jambo ni jipya kwangu. Kumbe walimu ni Failures?
SawaZamani ilikuwa hivyo. Division 4 na Division 0 walikuwa wanaenda ualimu na polisi. Wewe ni mtoto mdogo sana huwezi kuelewa