Unajua kigezo cha ufaulu gani Kinahitajika kwa mtu kusomea degree ya ualimu chuo kikuu kama udsm ?? Ngoja nikusaidie usipende kukalili maisha hiyo fact yak ya kwanza haiko sawa mfano mzuri kwa udsm ili usomee ualim lazima uwe na division 1 ya point yoyote ile ,,, sasa unapokalili na kusema kusomea ualimu ni kwa waliofeli tengua kauli mkuu think critically
Sio kweli naongea jambo kwa fact udsm education watu wenye three wapo wengi sana na rafiki zangu waliofeli kipindi hicho walisoma pale...ili uweze kuingia DUCE au chuo chochote ualimu kwa vyuo vikubwa kama UDSM, DUCE, MUCE n.k unatakiwa uwe na point kuanzia 5 sasa point tano ni divion ngapi??? Kama S=0.5, E=1, D=2, C=3, B=4, A=5 hivyo point tano maana yake ni D D E ambazo ni point 5 ila ni divion Three point 13...mpaka hapo kuna swali ndugu?!Unajua kigezo cha ufaulu gani Kinahitajika kwa mtu kusomea degree ya ualimu chuo kikuu kama udsm ?? Ngoja nikusaidie usipende kukalili maisha hiyo fact yak ya kwanzo haiko sawa mfano mzuri kwa udsm ili usomee ualim lazima uwe na division 1 ya point yoyote ile ,,, sasa unapokalili na kusema kusomea ualimu ni kwa waliofeli tengua kauli mkuu think critically
Nina two ya PCM tena ya 2007, na sasa ni mwalimu wa mathematics. Kama unabisha sema tuweke dau.Habari wanajamvi? Ashakum sio matusi ila leo nimeamua kuleta mada hii baada ya kufanyia utafiti binafsi kwa muda hivi...Kwanza nilianza kuambiwa na rafiki yangu enzi hizo 2012 pale UDBS kwamba asilimia kubwa kama sio wote waalimu uwezo wao ni mdogo upstairs nikakataa akanitaka nifanye utafiti binafsi
- Walimu wengi kama sio wote hawakupenda kuwa waalimu ila ufaulu wao ndio ulipelekea wakose option na kujikuta kwa shingo upande wanadumbukia kwenye fani ya ualimu bila kupenda
-asilimia kubwa ya walimu hawakupenda kwenda ualimu ila ukiachilia mbali ufaulu kuwa hafifu pia urahisi wa kuajiriwa, hii inatokana na ajira kuwa ngumu hivyo wengi kukimbilia ualimu ili kutatua matatizo yao ya ajira
-uchumi mbovu umepelekea wengi kuishia kuwa waalimu, hapa nina maana zile familia ambazo hazina uwezo wa kumlipia mwanafunzi kusoma kitu anachokipenda hivyo kujikuta akisoma ualimu ili apate ufadhili wa serikali
Naomba nisieleweke vibaya ila jaribu kufuatilia kwa umakini uje unaimbie mwanafunzi aliyepata division one nzuri kabisa akawa mwalimu, asilimia kubwa ya waalimu ni waliosoma arts au biashara kwakuwa wengi matokeo yao hayakuridhisha hatimaye option pekee ikawa ualimu..waalimu wengi wa science walifeli hapa Naomba uniletee mwalimu ambaye ama alisoma PCM, PCB, PGM n.k akapata divion one au two akaenda kusoma ualimu?? Wanaokuwa waalimu wengi huangukia kwenye point ya ufaulu mbovu darasani na ni wachache sana huangukia kuwa waalimu sababu ya uchumi wa familia ila wengi saaana walifeli...hata kama walijiendeleza na kuwa na masters still ukirudi nyuma utakuwa wengi walifeli...ndio maana nikasema asilimia kubwa kama sio wote uwezo wao ni mdogo...
Kama umesoma vyema hapo juu nadhani utakuwa umenielewa...waalimu wengi kama sio wote uwezo wao ni mdogo nikatoa na sababu tatu zinazopelekea mtu kuingia ualimu...hivyo kama ulisoma ualimu mwaka 2007 ukapata two ukaenda ualimu maybe ni sababu mbili zingine kama ni kweliNina two ya PCM tena ya 2007, na sasa ni mwalimu wa mathematics. Kama unabisha sema tuweke dau.
Ndugu nimetoa ufafanuzi wa point tano D=2 E=1 hivyo D2 na E moja ambazo ni kwenye matokeo D=4, E=5 hivyo D2 ni 8+5= 13...hivyo 13 ni Three Ndugu mpaka hapo umenielewa au nawe mwalimu hujui inavyohesabika nikusaidie zaidi??pale UDSM kama unataka kusomea ualim lazma uwe na point 5 na kuendelea sasa hzo point n lazma mtu uwe umefaulu vzur
Sio kweli naongea jambo kwa fact udsm education watu wenye three wapo wengi sana na rafiki zangu waliofeli kipindi hicho walisoma pale...ili uweze kuingia DUCE au chuo chochote ualimu kwa vyuo vikubwa kama UDSM, DUCE, MUCE n.k unatakiwa uwe na point kuanzia 5 sasa point tano ni divion ngapi??? Kama S=0.5, E=1, D=2, C=3, B=4, A=5 hivyo point tano maana yake ni D D E ambazo ni point 5 ila ni divion Three point 13...mpaka hapo kuna swali ndugu?!
huo n mpangilio wa sekondari na sio chuo.Mpangilio wa Chuo nNdugu nimetoa ufafanuzi wa point tano D=2 E=1 hivyo D2 na E moja ambazo ni kwenye matokeo D=4, E=5 hivyo D2 ni 8+5= 13...hivyo 13 ni Three Ndugu mpaka hapo umenielewa au nawe mwalimu hujui inavyohesabika nikusaidie zaidi??
Hahahahaaa unajipooza bure Ndugu...sijaanza Leo, nimemaliza 2013 na ninachokiongea nina ushahidi nacho asilimia kubwa ya waalimu wanaangukia vipengele vitatu ila kikubwa ikiwa ni matokeo mabovuMkuu naona umekomaaa kinyama ingia tovuti ya udsm download majina ya waliochaguliwa 2015-2016 kama utakuta kuna anayesoma ualimu hana division 1,,,, bila division 1 huon mlango wa nkurumah[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sawa kwasababu ni opinion yako sio factHahahahaaa unajipooza bure Ndugu...sijaanza Leo, nimemaliza 2013 na ninachokiongea nina ushahidi nacho asilimia kubwa ya waalimu wanaangukia vipengele vitatu ila kikubwa ikiwa ni matokeo mabovu
Nadhani umesoma haraka haraka jaribu kurudia upya Ndugu...nimekuwekea point za form six ambazohuo n mpangilio wa sekondari na sio chuo.Mpangilio wa Chuo n
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1.5
E=1
F=0
nadhani hapo umenielewa
Shida sababu zako zimekosa kusema selection pia hutegemea mapenzi ya mtu. Mfano, mimi mzee alikua mhasibu na alipenda nisome b.com ila tulikosana kwa hilo. Engineering nilikua sitaki hata kuisikia.Nilikua napiga zangu mapindi kabla hata sijachukua form UD nikaona nikafie huko.Kama umesoma vyema hapo juu nadhani utakuwa umenielewa...waalimu wengi kama sio wote uwezo wao ni mdogo nikatoa na sababu tatu zinazopelekea mtu kuingia ualimu...hivyo kama ulisoma ualimu mwaka 2007 ukapata two ukaenda ualimu maybe ni sababu mbili zingine kama ni kweli
Labda tumuulize yeye alisomea nini na alipata ngapi na alichopata nan alisababisha kama sio hao hao walimu[emoji35]Shida sababu zako zimekosa kusema selection pia hutegemea mapenzi ya mtu. Mfano, mimi mzee alikua mhasibu na alipenda nisome b.com ila tulikosana kwa hilo. Engineering nilikua sitaki hata kuisikia.Nilikua napiga zangu mapindi kabla hata sijachukua form UD nikaona nikafie huko.
Nimeweka hapo awali ukifundishwa kupika haimainishi aliyekufundisha ataendelea kuwa zaidi yako, juhudi zako ndizo humfanya mtu ampite...mwalimu aliyenifundisha uwezo wake ndio uliishia pale ila kwa juhudi zangu nikampita...kwahiyo kama alimaliza form four akapiga four akapelekwa ualimu kisha akaja kufundisha shule ya msingi, mie mwanafunzi wake nikasonga mpaka chuo kikuu bado utasema mwalimu ni bright?! Asilimia kubwa ya waalimu uwezo upstairs ni mdogoLabda tumuulize yeye alisomea nini na alipata ngapi na alichopata nan alisababisha kama sio hao hao walimu[emoji35]
Takataka,unaongea pumba tu hapa,hata tunaokusikiliza tunaonekana pumba vilevileKunifundisha haiminishi kwamba wapo bright, uwezo wao uliishia hapo mie uwezo wangu ukaenda mbele zaidi yao...kwani anayekufundisha kupika huwezi kumzidi kupika??? Acha kukariri kama wewe ni mwalimu tambua upstairs uwezo mdogo