Mr Anold
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 218
- 47
SCIENCE AND MATHEMATICS
Hili ni swali nililojiuliza mara nyingi sana, nimeitathimini kazi ya uwalimu hasa sule za sekondary hapa nchini na mazingira ya ufundishaji kwa ujumla wake. Hayo tuyaache kwanza.
Hoja yangu ya msingi ni hii.
Hivi karibuni ulitoka waraka wa kuwapandisha mshahara ngazi moja zaidi wafanyakazi wa serikali baadhi ikiwemo Watu wa IT, Engineering n.k.
Yaani mshahara wa kuanzia kwa mtu wa IT degree ni E tofauti na wengine kama mipango, elimu n.k ambao ni D.
Sasa mimi najiuliza hivi walimu waliosoma Sayansi na Hisabati wao siyo wanasayansi?
Mwenye nafasi ya kuiinua sayansi zaidi siyo mwalimu anaefundisha sayansi?
Bila huyu mwalimu hawa ma Engineer na IT officers wangepatikana vipi?
Haya jamani ni hayo tu.
Hili ni swali nililojiuliza mara nyingi sana, nimeitathimini kazi ya uwalimu hasa sule za sekondary hapa nchini na mazingira ya ufundishaji kwa ujumla wake. Hayo tuyaache kwanza.
Hoja yangu ya msingi ni hii.
Hivi karibuni ulitoka waraka wa kuwapandisha mshahara ngazi moja zaidi wafanyakazi wa serikali baadhi ikiwemo Watu wa IT, Engineering n.k.
Yaani mshahara wa kuanzia kwa mtu wa IT degree ni E tofauti na wengine kama mipango, elimu n.k ambao ni D.
Sasa mimi najiuliza hivi walimu waliosoma Sayansi na Hisabati wao siyo wanasayansi?
Mwenye nafasi ya kuiinua sayansi zaidi siyo mwalimu anaefundisha sayansi?
Bila huyu mwalimu hawa ma Engineer na IT officers wangepatikana vipi?
Haya jamani ni hayo tu.