Hongera ccm kwa kustisha huduma zote ofsin il 2malize kilio kwanza! Hv hamuon km 2po busy msibani? Kheee! Kuanzia J3, tutawapa taarifa mpya lin 2tatoa tena! Don gv up, kip on waitng......
Yea, ni kweli, jumla ya ajira 23,150. Lakini, wameshatenga fedha za kutosha kwa ajili ya walimu wapya? wasije kuwapeleka watoto wa watu maeneo wasiko na ndugu karibu halafu wakalazimika kuanza kufuatilia malipo yao huku wakikopa