MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,052
- 749
- Thread starter
- #21
Kada zote wamepatikana mkuu tena wakuu wa idara usiseme!!Bila shaka ni walimu hao?
Kada zote wamepatikana mkuu tena wakuu wa idara usiseme!!Bila shaka ni walimu hao?
Uzi kama huu huku haueleweki mkuu,lkn ningeweka kwamba binti wa kaka yangu ananitaka kimapenzi ungeona mambo hapa!!Jamani mbona jamaa kaandika kwa uwazi kabisa. Ni ngumu kumuelewa kama utasoma ujumbe wake bila kuunganisha na heading ya ujumbe.
Kwa kifupi jamaa anasema wababaishaji mara nyingi ujifanya wako smart na pengine kuchongea wenzao kama survival strategy kazini wakati watu smart hawana hizo. Kwa kifupi anatujulisha indicator nyingine ya kubaini mfanyakazi mwenye cheti fake - mjuaji sana.
Siombaya komaaUsijali mkuu,nishazoea gongo ya kijjn kwetu,so balimi cha mtoto
Nimeshuhudia wenzangu wanne wakitumbuliwa kwa kosa la kuwa na vyeti vya kughushi,lkn hawa jamaa kumbe unaweza kuwajua bila hata uhakiki!!
OkeyJamani mbona jamaa kaandika kwa uwazi kabisa. Ni ngumu kumuelewa kama utasoma ujumbe wake bila kuunganisha na heading ya ujumbe.
Kwa kifupi jamaa anasema wababaishaji mara nyingi ujifanya wako smart na pengine kuchongea wenzao kama survival strategy kazini wakati watu smart hawana hizo. Kwa kifupi anatujulisha indicator nyingine ya kubaini mfanyakazi mwenye cheti fake - mjuaji sana.
Chuo alichosoma mkuu kitakuwa na utataKwa uandishi huu bila shaka na wewe mwenyewe una cheti feki
Tatizo mzoea zile thread za shemeji yangu ananitega nifanyeje?? Kamwe hii huwezi kuielewa mkuu pita tu!! Siyo kila kitu usome!!Kwa uandishi huu bila shaka na wewe mwenyewe una cheti feki
Una thread za aina yako hii ipite tu,hata muziki kila mtu ana aina anayoipenda yeye!!Chuo alichosoma mkuu kitakuwa na utata
Sawa mkuuUna thread za aina yako hii ipite tu,hata muziki kila mtu ana aina anayoipenda yeye!!