Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!
ii muvi kama ccm na serikali yake ikikaza shingo mtaniruhusu niwe nabii?
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!
Hivi jina la machinga limetokana kabila moja wapo la ntwara eee! ?
Ni hasira za simanzi la muda mrefu!
Wamekata tamaa ya kuishi......wamejiona hawapendwi.
Tunaweza kusema wanachochewa,sikatai ni kweli !
Swali ni moja tu kuna mtu aweza chochea pasipo moto?
Tuzime moto na sio wachochezi wa moto kwani hata upepo unaweza kulipuwa moto huo!
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!
kumbe ni haki yao kabisa kukomaaasili ya machinga ni Ntwara, wengine tunafyata mikia.
99.9999999999999999999% unakaribia kwenye ukweli maana sidhani kama hao waliokuwa wakipigana ni wafanyakazi wa kwenye maofisi!Malipo ni hapahapa duniani tena unalipa wewe mwenyewe hakuna wa kukulipia.Ni mda wao kulipa waliyofanyiwaWalichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!
siku hizi rasilimani za nchi zimeanza kuwa za kishemeji sio familia tuWana mtwara tafadhalini sana msilegeze kamba, komaeni na hao wezi wa rasilimali za nchi yetu! Wamezidi kujimilikisha wao na familia zao.....