walikuja Dar mkawafukuza!

walikuja Dar mkawafukuza!

Uda

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2010
Posts
811
Reaction score
623
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!
 
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!

Vizuri sana
 
ii muvi kama ccm na serikali yake ikikaza shingo mtaniruhusu niwe nabii?
 
Hivi jina la machinga limetokana kabila moja wapo la ntwara eee! ?
 
Duh,gesi haitoki hata kwa bomba(mrija) wa pen!Kweli Watanzania wamechoka kuibiwa!
 
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!

>Mbwa ni mbwa tu. Hata avae ngozi ya Kondoo atabaki kuwa mbwa.

>Shukran ya punda ni Mateke, yameshaanza kutudhuru.
 
ii muvi kama ccm na serikali yake ikikaza shingo mtaniruhusu niwe nabii?

Hapa hakuna cha nabii wala unabii, matokeo yanajulikana kama wataendelea (serikali) kuwa na shingo ngumu na kuwapuuza wananchi. Hofu yangu ni kwamba msimamo wa watu wa Mtwara ukisambaa nchi nzima itakuwa balaa. JUSTIN KALIKAWE (R.I.P) aliimba; PANAPOFUKA MOSHI UKITAKA KUUZIMA, ZIMA MOTO CHINI. Miradi ya maendeleo ni miradi ya wananchi sasa serikali inapotumia nguvu badala ya kuwaelimisha wananchi waridhie miradi hiyo inatia shaka. Ikumbukwe kwamba walinzi nambari moja wa miundombinu yoyote ni wananchi sasa unapotumia nguvu unawafanya wajione kuwa miradi hiyo si yao (sense of ownership inatoweka) therefore the infrastructure is prone to vandalism.
Mfano: Dar - Mtwara is about 540 KM = 540,000 M suppose kila baada ya mita 200 utaweka askari ili kulinda bomba la gesi it means serikali itahitaji askari wasiopungua 2,700 kwa kazi hiyo.
Suppose posho ya askari kwa siku ni sh. 50,000/= add other costs (logistics etc.) say sh. 50,000/= equals to approx. sh.100,000/= per day per askari.
Assume also mradi wa gesi utadumu kwa miaka 15 = 15 * 365 = 5,475 days.
Gharama ya kulinda bomba la gesi kutoka Dar - Mtwara = 2,700 *100,000 * 5,475 = 1,478,250,000,000/=

Je, Mwigulu Nchemba msomi tegemeo wa ccm katika uchumi analiona hili? Au ni kwa vile wanatanguliza mbele maslahi ya tumbo ndiyo maana hawalioni? Nape nitamsamehe katika hili maana yeye ni kama mimi, kidato cha sita tulizunguka kipenyo 'd'.
 
No one could put it better than you just did.
 
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!

Very plausible. Plausible being the operative word.

Nimeenda kipande cha kuvuka daraja kabla ya daraja la Mkapa, kupita Muhoro na Nangurukulu. Mpaka Nachingwea, kwingine nishaanza kusahau majina sasa.

Ukitoka Dar ni kama umeenda nchi nyingine hivi, hata kama Dar umetoka slums za Upanga.

Na nikafanya urafiki na watu niliokutana nao huko, wakaja kunitembelea Dar, wakashangaa kama wamefika nchi tofauti na yao.

Na kwa kweli ilikuwa tofauti na yao, maana hata kupanda ngazi za ma slums za Upanga ilikuwa kazi. Si mimi ninayesema hivyo - mimi napenda kujifikiri kama mswalihina walii sana kuona hilo- wao wenyewe wameniambia, huku wakipanda ngazi, miaka hiyo nikisubiri matokeo kwenda chuo na kujaribu biashara ya vyaza na Wakorea. Ilikuwa ni habari mpya kwao.

Najaribu kufikiri mtu huyu umwambie kuna mali inatoka kwake na kupelekwa mamia ya maili mbali naye.

Halafu umwambie kwamba Tanzania ya leo hatuna ukoloni wa mtu mweusi dhidi ya mweusi.

Ataanza kukuamini vipi?

Na hata kama hatakuamini kwa upotofu, utamlaumu vipi kwa jinsi alivyokoseshwa elimu miaka yote hii?
 
Very plausible. Plausible being the operative word.

Nimeenda kipande cha kuvuka daraja kabla ya daraja la Mkapa, kupita Muhoro na Nangurukulu. Mpaka Nachingwea, kwingine nishaanza kusahau majina sasa.

Ukitoka Dar ni kama umeenda nchi nyingine hivi, hata kama Dar umetoka slums za Upanga.

Na nikafanya urafiki na watu niliokutana nao huko, wakaja kunitembelea Dar, wakashangaa kama wamefika nchi tofauti na yao.

Na kwa kweli ilikuwa tofauti na yao, maana hata kupanda ngazi za ma slums za Upanga ilikuwa kazi. Si mimi ninayesema hivyo - mimi napenda kujifikiri kama mswalihina walii sana kuona hilo- wao wenyewe wameniambia, huku wakipanda ngazi, miaka hiyo nikisubiri matokeo kwenda chuo na kujaribu biashara ya vyaza na Wakorea. Ilikuwa ni habari mpya kwao.

Najaribu kufikiri mtu huyu umwambie kuna mali inatoka kwake na kupelekwa mamia ya maili mbali naye.

Halafu umwambie kwamba Tanzania ya leo hatuna ukoloni wa mtu mweusi dhidi ya mweusi.

Ataanza kukuamini vipi?

Na hata kama hatakuamini kwa upotofu, utamlaumu vipi kwa jinsi alivyokoseshwa elimu miaka yote hii?
Ni hasira za simanzi la muda mrefu!
Wamekata tamaa ya kuishi......wamejiona hawapendwi.

Tunaweza kusema wanachochewa,sikatai ni kweli !
Swali ni moja tu kuna mtu aweza chochea pasipo moto?
Tuzime moto na sio wachochezi wa moto kwani hata upepo unaweza kulipuwa moto huo!
 
Back
Top Bottom