Uda
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 811
- 623
Walichangiwa nauli na ndugu zao wakasafiri mpaka bandari ya salama!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!
Wakafika Dar salama usalmini!
Wakaanza ujasiriamali mkawaita wamachinga!
Punde mkaona wamefanikiwa!mara mkawaona ni kero!
Mkawafukuza Dar kwa virungu vya mgambo!
Wakaona isiwe tabu!wakarudi Ntwara!
Wakaendelea na kilimo cha jembe la mkono!
Mara wakaambiwa Ntwara kuna hazina!
Hazina nyeti ya gesi!
Wakapumua na kusema ,sasa umasikini baasi!
Mkawafariji na kuwaahidi kwamba gesi ni mkombozi na viwanda mtavipata!
Wakawapa fursa kwa kuwachagua ili mtekeleze hayo mliyowaahidi!
Loh!mkawaacha kwenye mataa!
Tena mnajigamba Gesi lazima ikabwage moyo hukoo bagamoyo!
Sasa wanasema hapana 'Gesi haitoki hata kwa mrija wa pen'
HAO NDIO WAMACHINGA!