Mkondakaiye
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 838
- 174
Naibu waziri wa elimu ndugu ametangaza kuwa wanafunzi wote darasa la saba 2011 waliofutiwa matokeo watarudia mtihani huo septemba 2012. swali ninalo jiuliza kwanini waswape mtihani mapema ili wajiunge na wenzao kdt I mwaka huu, pili ni jinsi gani watawapata wale dada zetu ambao baada ya kuona wamufutiwa sasa wapo dar kama mahouse girl na kaka zao kama mahouseboy au tayari wako mtaani kama wamachinga.
Tujadili
Tujadili