Walichaguliwa nit 2015/16 tukutane hapa

Walichaguliwa nit 2015/16 tukutane hapa

Newboy

Senior Member
Joined
Jun 12, 2014
Posts
113
Reaction score
42
Walichaguliwa kujiunga bachelor NIT tukutane hapa ili kufamiana mapema
 
Mi mojawapo nomechaguliwa pale iv ada yake sh ngapi
 
Mi mojawapo nomechaguliwa pale iv ada yake sh ngapi

Ukiipigia ukawa-chadema edward lowasa hautalipa kitu chochote, ula ukiwaweka vibaraka wa lumumba shughuli imekwisha utalipa ada wewe na vizazi vyako vyote
 
Sawa,ila kwa sasa tuambizane ada yake sh ngapi huku tunasubiria zali la lowasa
 
mm mwenyewe nimechaguliwa hapo but cjui info zozote za hapo yaani cjui nitaishije sehemu ambayo sina taarifa yoyote ile
 
Wakuu na mm niko pale,,2julishana life la pale huku 2kisubiri bodi ya mkopo wanatoa vp? by philberth philipo ni KAGERA
 
Maisha ya pale NIT ni ya kawaida. ila kupata hostel pale ni kazi kubwa, maana hostel za pale zinaweza kubeba wanafunzi 320 na malipo kwa semester moja ni Tsh 100,000/=. Kama unataka kupata hostel inabidi uwai kufka ili uweze kuomba mapema. but pia kuna hostel za nje ya chuo ambazo malipo yake ni kuanzi Tsh 45,000/= kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom