Unakua hivi,Najua, lakini sasa unakulaje na vile vitunguu vilivyogeuka mkaa? Kasema hapo sio viive ni vinatakiwa kuungua ili kufanya wali uwe brown.
Kwa kweli umejua kunichekesha,Hilo nalitambua, nimeamua tu kufanya masihara kufurahisha watu tuongeze siku za kuishi.
Lakini tukiweka utani pembeni kitunguu ni dawa hasa ukikitafuna kibichi. Tatizo harufu mdomoni, tena usiombe utafune kitunguu swaumu.
Naomba ili swali akujibu Khantwe maana ye ndiyo amesemea kuunguza vitunguu, ila kwa mimi siunguzagi kabisa na pia sipendi maana kikishaungua tu ladha inabadilika na kuwa mbayaNi sababu ipi ya msingi inawafanya wapishi wakaange vitunguu hadi viungulie? Ile ni zaidi ya kuiva, haina madhara kiafya kweli? Inakua kama mkaa
Hahaha kumbe janja yake ya kubana matumizi eeh, umenifumbua macho na mimi.Khantwe utamuweza? Ukute anaunguza hivyo asiweke mboga. Hapo ukinipa huo ubwabwa mweusi nachohitaji chai ya rangi tu.
Uchungu unaweza kutoka ila sidhani kama wali wake utakuwa mtamu sawa na aliyepika bila kuunguza kitunguuHalafu kweli kitunguu kikiungua kinakua kichungu, labda kikiwa kwenye wali uchungu unatoka
Kwa kweli umejua kunichekesha,
Yes kitunguu ni dawa sana na hata kwenye milo yetu ni vema kuweka vingi sio kitunguu kimoja kinakwatwa leo na kesho, lol,
Kitunguu swaumu nimekila sana kupunguza mwili (unfortunately umerudi tena kipindi hiki cha Corona, )
,Siku mkienda tena kwenye vikao vya kugawiwa miili ( nyama) usinisahau kunipa mwaliko. Nna uhaba mkubwa sana. Sijai hata kwa kiganja
Maybe... Nitajaribu sikuWahindi wanasema wali unakua mtamu tu wala hauiwi na ladha ya kuungua, kumbe Khantwe kagundua pishi matata,
View attachment 1463152
Mchuzi au pilau au kachumbari inoge lazima vitunguu viwe vingi hasa.Kitunguu kina siri kubwa kwenye pishi lolote.. Hunogesha na kuleta ladha fulani very amazing
Jr
Nilienda India na mgonjwa.Hilo nalitambua, nimeamua tu kufanya masihara kufurahisha watu tuongeze siku za kuishi.
Lakini tukiweka utani pembeni kitunguu ni dawa hasa ukikitafuna kibichi. Tatizo harufu mdomoni, tena usiombe utafune kitunguu swaumu.
Nikiunguza kwa bahati mbaya vitunguu inabidi nimwage nianze upya. Ladha yotr inabadilika.Naomba ili swali akujibu Khantwe maana ye ndiyo amesemea kuunguza vitunguu, ila kwa mimi siunguzagi kabisa na pia sipendi maana kikishaungua tu ladha inabadilika na kuwa mbaya
Havionekani wala,Nitapata shida tu ya kula huku nauchambua maana vile vitunguu vilivyoungua vitakuwa vinanikera.
Ni kweli, ndio maana mimi kwenye mboga bora nikose vyote ila sio kitunguuKitunguu kina siri kubwa kwenye pishi lolote.. Hunogesha na kuleta ladha fulani very amazing
Jr
mboga ya nini sasaKhantwe utamuweza? Ukute anaunguza hivyo asiweke mboga. Hapo ukinipa huo ubwabwa mweusi nachohitaji chai ya rangi tu.
Haviungui sana, kwangu mimi naona ndio wali unabadilika vizuri na wala hauwi na ladha mbayaNaomba ili swali akujibu Khantwe maana ye ndiyo amesemea kuunguza vitunguu, ila kwa mimi siunguzagi kabisa na pia sipendi maana kikishaungua tu ladha inabadilika na kuwa mbaya
Ni kweli kabisa babe, tatizo watu wanajudge tu bila kujaribuWahindi wanasema wali unakua mtamu tu wala hauiwi na ladha ya kuungua, kumbe Khantwe kagundua pishi matata,
View attachment 1463152
Hello guys,
Kwa wale wanaopenda kula kama mimi nimeona niwashirikishe hili pishi rahisi sana. Mwaka jana mwishoni katika kuhangaika na maisha nilienda mkoa mmoja ndanindani huko. Kule nilikuta wanapika wali wa kitunguu kwa kweli niliupenda. Pengine wengine mnajua ila nina uhakika wapo ambao hawafahamu. Twende pamoja.
1. Andaa kitunguu maji katakata vipande vya kawaida.
2. Tia mafuta kwenye sufuria unayotaka kupikia wali (hakikisha umeandaa maji ya moto pembeni).
3. Tia vitunguu kwenye mafuta yaliyochemka, kaanga mpaka viungue (sio viive, vinatakiwa viungue).
4. Tia mchele, geuza hadi vitunguu vichanganyike na vitunguu (mchele ubadilike rangi). Baada ya hapo tia maji na endelea na hatua zingine kama kawaida.
Wali unakuwa na ladha fulani hivi ya kuvutia, mimi niliupenda najua na wewe utaupenda