Code Breaker
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 1,019
- 446
Walevi wawili wametoka kilabuni wakiwa chakari mida ya jioni.
Mlevi wa kwanza, akaokota kioo akasema halafu huyu jamaa kama namfahamu vile, sijui nimemuona wapi!
Mlevi wa pili akamwambia hebu nimuone akaangalia kwenye kioo akasema " Mhh, huyu si Mimi, unajifanya umenisahau"
Mlevi wa kwanza, akaokota kioo akasema halafu huyu jamaa kama namfahamu vile, sijui nimemuona wapi!
Mlevi wa pili akamwambia hebu nimuone akaangalia kwenye kioo akasema " Mhh, huyu si Mimi, unajifanya umenisahau"