Lukataluko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,345
- 1,572
Nina city yangu,nimegundua kuna madini,naomba kuuliza procedures gani na
takiwa kufuata ili nianze kuchimba kama mchimbaji mdogo,
Naomba kujua napataje vibari,gharama za reseni na pia namna ya kupata hati ya umiliki wa aridhi.
Karibuni kwa michango yenu ya mawazo.
takiwa kufuata ili nianze kuchimba kama mchimbaji mdogo,
Naomba kujua napataje vibari,gharama za reseni na pia namna ya kupata hati ya umiliki wa aridhi.
Karibuni kwa michango yenu ya mawazo.