Wale wanaotafuta wanaume

Wale wanaotafuta wanaume

raamar

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2014
Posts
252
Reaction score
23
huenda ikawa bahati yako kwa wewe unae tafuta mwanaume wa kuwa nae maishani,Mungu ndyo atakuwa ame ku direct kwangu,bahati hyo ooooh,ni inbox nikupe namba,whatsapp pia waweza nichek na telegram
 
Siku hizi vijana wengi kuwa madomo zege limekuwa tatizo la kitaifa
 
Toa sifa zake kwanza nina dada yangu bikra naweza kukubariki
 
siku nyingine sema ubadlishane dada kwa dada sio utake dada za watu wakati dada zako wanamaliza ugali nyumbani na kuanglia tamthilia. Mali kwa mali imekaa poa.
 
siku nyingine sema ubadlishane dada kwa dada sio utake dada za watu wakati dada zako wanamaliza ugali nyumbani na kuanglia tamthilia. Mali kwa mali imekaa poa.

thina dada manking
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom