Wale waliochaguliwa SEKOMU tukutane hapa jamani

Wale waliochaguliwa SEKOMU tukutane hapa jamani

Hehehehe hatari aisee magamba hakufai maji yanga kwenye ndoo huku[emoji12] [emoji12]

Mi nimeishi mbeya 4 years hasa mbeya town Ila lushoto ni Namba nyingine kwa baridi hakufai

Cha kushangaza wazawa hawana habari wanatembea na vesti kitaa[emoji2] [emoji2]
 
lushoto nimesoma three years kuna baridi sana pale yan mwez Wa saba na Wa nane noma sana
 
Tuache kusoma huku tukiwa na mtazamo wa kuajiriwa tu, karne ya leo tuwaze kujiajiri zaidi ili nasi tuje tuajiri
 
Dahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, nikikumbuka lile barid la mwishon mwa semster yapili huwa nacheka mwenyew yan ad midomo inaganda.
mkuu ili ufanye registration wanahitaji kias gan cha fedha manake tukingoja mkopo tutakosa vyote
 
Back
Top Bottom