Wale wadudu wanaowaka taa

Mabadiliko ya kimazingira, wale wanapenda miti mingi na zaidi misitu kama ilivyo kwa vipepeo.

Kwa mijini labda nyuki ndio wabishi maana wakiwa na makazi ndani ya 1km au 2km utajua tu, utawakuta hadi kwenye chupa za fanta orange au hii migahawa ya wazi unawakuta hadi kwenye bakuli za sukari.

Ujue hao hawapo mbali na mahali hapo.
 
Mimi ambaye naona kawa adımu sana ni Kobe zamani mpaka mjini walikuwepo
 
No more maporiz nowadays
Mapori yt yamefyekwa kupisha ujenzi, kupendezesha mji.
Me mwenyewe nimemiss kuwaona, miaka mingi sijawaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…