Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 321
Shukurani kaka!Mnadambue kwanza halafu ndo utafute jibu konki!
How?Nakazia tena, hizi degree hizi nyingi tunapigwa tu.
How?
Tarajia mawazo mapya yenye tija, pia tarajia utatuzi wa shida husika zinakowakabili ninyi wananchi.Kama wewe ni msomi wa chuo kikuu tutarajie nini?
How bro!Amka tu . daydream sio nzuri kuendekeza
Soma mzee SUP zipoHabarini.
Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.
Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.
Kama nakosea mniambie.
Ni kwa nia njema tu
Nasoma kaka!soma mzee SUP zipo