Sospetergideon
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 300
- 16
Mi nadhani kitu tayari kumbe bado wazeiya hii thread inapokuwa hapo juu kila niingiapo humu jf daah!
Kwa taarifa nilizopewa n kwamb matokeo wameshamaliza kuchagua hao wanachuo wapya ila wamechelewa kutoa kixa n kwamb kuna w2 weng xana wamefoji cv zao ndo mana wakawa wamechelewa kutoa haya matokeo jaman 2we 2 na xubra wadau mana kama ipo ipo 2 !2xwe na haraka bl 2we na moyo wa ustahil 2