msaada nnaswali
nmechaguliwa directly diploma in secondary education chemistry&maths ckupata nafas y kwenda a-level nlikuanauliza kama nkitaka kujiendeleza hapo baadaye nje ya education inawezekana ??
nakama inawezekana n koz gan ntakazo zsoma kutokana na masomo yangu nnayofundsha?\
msaada please
Nimechaguliwa UDOM , nauliza Vp mtu anarusiwa kuhama kutoka kozi ambayo ina mkopo kwenda kozi ambayo haina mkopo hapo hapo Udom ?? Mwenye uelewa wa hili swala anisaidie. Tukutane UDOM tupige msuli.
hiv EZRA CHENGULA naomba unisaidie,kuna ndugu angu kachaguliwa direct special diplma of education chem&maths haxa ananiulza kuhsu garama zte za pale udom zinakuaje na wa2 wanaxema wanalipiwa na xerkal na kama wanalpiwa inakuaje kuaje ?naomba tarifa zaid ili mtt wa baba mdogo aende chuo?
hiv EZRA CHENGULA naomba unisaidie,kuna ndugu angu kachaguliwa direct special diplma of education chem&maths haxa ananiulza kuhsu garama zte za pale udom zinakuaje na wa2 wanaxema wanalipiwa na xerkal na kama wanalpiwa inakuaje kuaje ?naomba tarifa zaid ili mtt wa baba mdogo aende chuo?
Aiseee kumbe tuko wengi hivi???? hebu wazoefu na wenyeji wa chuo mtupe michakato inakuaje kuanzia campus life,accommodation, opening day, usafiri na vinginevyo