mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
Angalia vizuri...ya nne haiwezi kujaa kabla ya nne...Number 3 & 4 will be full first, at the same time. Remember, water follow it's own level.
Inategemea ni fluid gani inatumika. Kama ni uji sawa, ila kama ni maji, ya 3 na 4 zitajaa kwa wakati mmoja.Angalia vizuri...ya nne haiwezi kujaa kabla ya nne...
Hujajibu mkuu...ipi itajaa kwanza??Factor kubwa kabisa ni speed ya maji kuingia katika 1
Kwanini mkuu??Number 3
No 3Hujajibu mkuu...ipi itajaa kwanza??
Ndio maana nikakwambia factor speed ya maji kama maji yanayoingia kwenye namba moja ni mengi kuliko yale yanayotoka lazima 1 ijae mapema kuliko hizo nyingine zooteHujajibu mkuu...ipi itajaa kwanza??
Kwasababu tube inayotoka namba 3 imepanda mpaka juu kwa namba 4 ambapo ni sawa na urefu wa namba 3..........na maji yatakavo kuwa yanapanda kimo kwenye namba 3 ni sawa na yatakavokuwa yanapanda kwenye tube inayoelekea namba 4Kwanini mkuu??
Namba 3 itajaa kwa sababu level ya no 4 itategemea no3 ijaeNo 3
Ndio maana nikakwambia factor speed ya maji kama maji yanayoingia kwenye namba moja ni mengi kuliko yale yanayotoka lazima 1 ijae mapema kuliko hizo nyingine zoote
Fikiria 0.1L inaingia kwa sekunde moja n outlet ni o.oo1L kwa sekunde unategemea ipi itajaa mwanzo kama si beaker namba 1 mkuu..
Haziwezi kujaa zote mda mmoja mkuu...angalia tube inayoenda kwenye namba nne ilivyo3 & 4 zitajaa kwa pamoja km speed ya maji itakua ndogo ya wastani