Wale wa NACTE

Wale wa NACTE

Prezdaa Shaco

Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
46
Reaction score
8
Naomba msaada wenu hivi tulioomba vyuo kwa kutumia NACTE majina waliochaguliwa yanawekwa kwenye website ya NACTE au yanawekwa kwenye website ya vyuo pamoja na wale Fresh. Maana kuna ndugu yangu kaomba UDSM na UDOM ila majina yametoka yeye hayumo, na kwenye profile yake hajaandikiwa chochote na kwenye website ya NACTE hawajatoa majina yoyote...!!
 
Udom na UD bado hawajamaliza kutoa majina,hizo ni first batch nadhani kuna nyingine zinakuja
 
nacte ndo wapo responsible kwa wewe uliotoka dip
 
Naomba msaada wenu hivi tulioomba vyuo kwa kutumia NACTE majina waliochaguliwa yanawekwa kwenye website ya NACTE au yanawekwa kwenye website ya vyuo pamoja na wale Fresh. Maana kuna ndugu yangu kaomba UDSM na UDOM ila majina yametoka yeye hayumo, na kwenye profile yake hajaandikiwa chochote na kwenye website ya NACTE hawajatoa majina yoyote...!!

Tembelea website ya vyuo ulivyochagua.
Wengi wa nacte wamechaguliwa ila kwenye profile zao hakijabadilika kitu.
Cha muhimu ukisikia chuo ulichoomba kimetoa majina fanya kuyaperuzi ...
 
Tembelea website ya vyuo ulivyochagua.
Wengi wa nacte wamechaguliwa ila kwenye profile zao hakijabadilika kitu.
Cha muhimu ukisikia chuo ulichoomba kimetoa majina fanya kuyaperuzi ...

Alichagua UDOM program mbili na UDSM program mbili
Vyote vishatoa majina yeye hayumo
 
Vyuo ulivyochaguliwa wakion umekidhi vigezo wanakuchagua
Fatilia vyuo ulivyochaguliwa wengn washapata kitambo
 
Back
Top Bottom