we huna akili kabisa. Ndio nini sasa kuandika jina langu humu. Naomba ufute thread hii tafadhali. Na sikutakiiiiiiiiiiiiiiii.......unaning'ang'ania nini???..kwani wanawake wengine huwaoniiiiiiii???...nimesema sitaki unifwatefwate!!!...mxiiiiiiiiiiiii.....
Shida kwa PM funguka hapa tatizo lako vinginevyo utamkosa atakufikiria vingine, funguka shida yako kwanza hapa ikiwa ya msingi kwa upande wake atakufuata PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.