shayo complex
Member
- Dec 29, 2014
- 36
- 3
- Thread starter
- #21
Ndio, huwa zinapatikana ila huwa kuna usumbufu sana, ila mimi ningekushauri usipende kukaa maisha ya hostel, hayana changamoto za maisha
Tafuta chumba mtaani upange itakusaidia sana kwan pindi utakapomaliza chuo utakuwa umeshaanza take off stage ya maisha, si rahis kurud nyumbani na mizigo yako kama ulivyotoka.
Ukitaka uishi sehem nzur pia upate changamoto positive za kimaisha, usikae kigamboni.
sawa mkuu nmekuelewa..mi mwenyew sipendelei kukaa hostel...afu nmesikia weng wa wanafunzi hupanga vyumba kigamboni xo ni mahala pazuri kweli? Msaada wako mkuu