Hizi gari mostly zinatumika kwenye site woek ya migodi edition iyo ya Ford ni zao la South Africa tafuta dealer wa SA utapata maelezo na spare bei cheap..Nimenunua mwaka jana niliagiza.
Tatizo lililopo ni kuwa nikiwa katika mlima gari inapush kwenda spidi zaidi wakati hiyo hali haikuwepo. Niliipeleka kwa mafundi wa kompyuta wakanipa quote ya milioni 7 ili waagizie sensa na kuifunga.
Tatizo lilianza baada ya kupata ajali, bima walirekebisha nikaendelea kulitumia nimekuja kuanza kupata tatizo miezi miwili baada ya kutoa gereji wa bima ya Wachina Mikocheni.
Niliwarudishia wachina wakagoma wakasema wao kazi yao ishaisha nikubaliane nao upya.
Kuna mtu ambaye ashakutana na tatizo hili kama kuna fundi mzuri wa ford anayemjua ili niweze kucompare hizo cost za hawa milioni 7 ndefu aisee.
NB:Sio gari la mjini ilo wala halina maajabu yoyote kwenye city.