GREAT VISIONAIRE
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 365
- 453
Nimenunua mwaka jana niliagiza.
Tatizo lililopo ni kuwa nikiwa katika mlima gari inapush kwenda spidi zaidi wakati hiyo hali haikuwepo. Niliipeleka kwa mafundi wa kompyuta wakanipa quote ya milioni 7 ili waagizie sensa na kuifunga.
Tatizo lilianza baada ya kupata ajali, bima walirekebisha nikaendelea kulitumia nimekuja kuanza kupata tatizo miezi miwili baada ya kutoa gereji wa bima ya Wachina Mikocheni.
Niliwarudishia wachina wakagoma wakasema wao kazi yao ishaisha nikubaliane nao upya.
Kuna mtu ambaye ashakutana na tatizo hili kama kuna fundi mzuri wa ford anayemjua ili niweze kucompare hizo cost za hawa milioni 7 ndefu aisee.
Tatizo lililopo ni kuwa nikiwa katika mlima gari inapush kwenda spidi zaidi wakati hiyo hali haikuwepo. Niliipeleka kwa mafundi wa kompyuta wakanipa quote ya milioni 7 ili waagizie sensa na kuifunga.
Tatizo lilianza baada ya kupata ajali, bima walirekebisha nikaendelea kulitumia nimekuja kuanza kupata tatizo miezi miwili baada ya kutoa gereji wa bima ya Wachina Mikocheni.
Niliwarudishia wachina wakagoma wakasema wao kazi yao ishaisha nikubaliane nao upya.
Kuna mtu ambaye ashakutana na tatizo hili kama kuna fundi mzuri wa ford anayemjua ili niweze kucompare hizo cost za hawa milioni 7 ndefu aisee.