Wale tuliochaguliwa UDOM 2016/2017 tukutane hapa

Wale tuliochaguliwa UDOM 2016/2017 tukutane hapa

Mimi nipo UDOM hadi dakika hii,karibuni sana CIVE.Huku hakuna kubebana kama UDSM . Tukutane UJASI
achana na UDSM mkuu,we taja sifa zenu tu basi sio lazma ulinganishe na chuo kingne,utawachukiza watu ase chunga.
 
1474082731623.jpg
 
Mimi nipo UDOM hadi dakika hii,karibuni sana CIVE.Huku hakuna kubebana kama UDSM . Tukutane UJASI
Hivi hawa wajasi bado wapo tu kule bondeni?
Mama nyangeta
Mama miwani
Mtumishi
Kwa mrangi

Na vp block 1,2 na 3 zimeacha kuvuja?

Mpe Hi naledi, mwambie aongeze ngano kwenye mchuzi
 
Hivi hawa wajasi bado wapo tu kule bondeni?
Mama nyangeta
Mama miwani
Mtumishi
Kwa mrangi

Na vp block 1,2 na 3 zimeacha kuvuja?

Mpe Hi naledi, mwambie aongeze ngano kwenye mchuzi
Wajasi wameongezeka kule bondeni.
 
Nawakaribisha sana college mpya ya College of business studies and Law inayopatikana bondeni ilikokuwa CHSS.
 
Back
Top Bottom