Wale mnaojua kutabiri tunaomba mkeka

Wale mnaojua kutabiri tunaomba mkeka

Hapa kuna mutu namwona kwenye oxygen na umeme unakatika kutokana na matunzo zero generator limegoma nanisijui Nani ana okoa Hili jahazi
 
Kuna watu wakisema jambo litatookea.

Ni wkt muafaka. Magu alijaribu kujua upinzani. Mama anajua anafanyanini. Sasa wale walozi mpoo
Tukiachana na SIASA niliona majeneza mengi sana yamepangwa pamoja. ni wiki2 na ushee zimepita.

Kwenye viongozi sitasema kwa ID hii maana nafahamiana na watu wengi sana na wengine tumeonana live.

Tunza zote hizi ni uhakika100% ni vile huwa sijui muda tu lakini lazima itokee
 
Tukiachana na SIASA niliona majeneza mengi sana yamepangwa pamoja. ni wiki2 na ushee zimepita.

Kwenye viongozi sitasema kwa ID hii maana nafahamiana na watu wengi sana na wengine tumeonana live.

Tunza zote hizi ni uhakika100% ni vile huwa sijui muda tu lakini lazima itokee
Majeneza tayari ajali ya kugongana magari ya abiria Same Kilimanjaro.
Umetisha mwamba.
Kwenye siasa nirushie utabiri PM mimibsikujui upo salama.
 
Roho mbaya kuombea kifo kwenye familia ya mtu, muhumu aje mtu sahihi aliyepo viatu havimtoshi
 
Back
Top Bottom