Wale mlosoma economics nisaidieni

Wale mlosoma economics nisaidieni

Joined
Sep 22, 2011
Posts
33
Reaction score
2
Habari wanajamii.
Nasoma BA ya ECONOMICS nipo mwaka wa 3. Natakiwa fanya selection kat ya hizi
1.INDUSTRIAL ECONOMICS
2.AGRICULTURE
3.LABOUR
4.NATURAL RESOURCES
Hapo natakiwa chagua mbili. Zipi zaweza kuwa na uwanja mpana wa ajira?
 
Habari wanajamii.
Nasoma BA ya ECONOMICS nipo mwaka wa 3. Natakiwa fanya selection kat ya hizi
1.INDUSTRIAL ECONOMICS
2.AGRICULTURE
3.LABOUR
4.NATURAL RESOURCES
Hapo natakiwa chagua mbili. Zipi zaweza kuwa na uwanja mpana wa ajira?

Degree moja kuongelea ajira siku hizi ni shida soma yoyote katika hizo unayoona unaweza halafu soma masters chap chap ndipo utakuwa na uhakika wa ajira.Degree moja si kitu kwenye ajira siku hizi utazunguka nayo hadi ulie kutafuta kazi.
 
Degree moja kuongelea ajira siku hizi ni shida soma yoyote katika hizo unayoona unaweza halafu soma masters chap chap ndipo utakuwa na uhakika wa ajira.Degree moja si kitu kwenye ajira siku hizi utazunguka nayo hadi ulie kutafuta kazi.

asante kaka but najua MA inajengwa na BA so ndo maana naomba mwanga
 
Degree moja kuongelea ajira siku hizi ni shida soma yoyote katika hizo unayoona unaweza halafu soma masters chap chap ndipo utakuwa na uhakika wa ajira.Degree moja si kitu kwenye ajira siku hizi utazunguka nayo hadi ulie kutafuta kazi.

We ndio kundi la watanzania wasio elewa alafu ndio mnatutia aibu endapo mukipewa fursa ya uwakilishi Je ulichojibu ni sawa na kilichoulizwa ?elewa swari ndo utoe jibu
 
Soma namba I na. 2 kwani hivyo vitu vina uwanda mpana sana katika dunia hii hizo zingine unaweza kusoma kwenye workshop au semina mbalimbali
 
Kama alivyokusahuri Tai wa Afrika wa Mashariki hapo juu, kwakuwa hujui utakuja kuifanyia kazi ipi, soma unayoweza ili kuitengeneza GPA yako kwa ajili ya masters. Kusoma hizo pekee haziwezi kukusaidia kupata ajira, mie nilisoma labour na natural resources. mojawapo inanisaidia sana
 
Habari wanajamii.
Nasoma BA ya ECONOMICS nipo mwaka wa 3. Natakiwa fanya selection kat ya hizi
1.INDUSTRIAL ECONOMICS
2.AGRICULTURE
3.LABOUR
4.NATURAL RESOURCES
Hapo natakiwa chagua mbili. Zipi zaweza kuwa na uwanja mpana wa ajira?

habari kijana!!kama ni swala ajira kwa nchi hii unaweza ukasomea kitu fulani na usifanye kazi katika hiy sekta uliyosomea,ila sasa kwa swala uwanja mpana wa ajira nakushauri usomee AGRICULTURE.Hii ni nzuri na haina ushindani mkubwa kwa sababu hata waliosmea course hiyo ,huwa hawapendi kufanyia kazi,na ukifanikiwa kumaliza vizuri ukapata kazi utafanikiwa vizuri sana kwani wapo wachache sana,kuna mtu nimefanya nae bank amesomea mambo hayo na hataki kutoka bank!!
 
Back
Top Bottom