Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Hotuba ya Rais Magufuli mara baada ya kutangazwa kuwa Mkt moya wa SADC imefumba vinywa vya wapumbavu.
- Imejaa takwimu
- Inaonesha mwelekeo
- Inajenga umoja wa wa Africa
- Imesisitiza kuangalia namna ya kuwaangalia wenzetu Zimbabwe
- Marais wote wamesoma lakini kuna jamaa walivaa miwani ya mbao. Na kutokana na udogo wa akili zao wanajadili vitu vidogovidogo wanaacha issues.
- Yapo mengi hata wewe umeyasikia
Kuanzia sasa, hivyo vi elimu vyenu vya kuungaunga na vingereza vya Holliwood visiwatie wazimu. No research no right to speak.
Kuna watu wameshindwa kuficha upumbavu wao wamekimbilia kwenye lafudhi badala ya contents. Aidha, suala la kusoma wamefanya marais wote sio magu peke yake. Hata marais wakiotangulia ukiacha mzee mkapa wote wanasoma. Wekeni hotuba zao hapa tuone.
Acheni upumbavu na ushamba wa elimu zenu za kuungaunga. Hotuba imeenda shule na makofi yalikuwa kama mvua ukumbi mzima. Kama vipi kalambe malimao.
Queen Esther
- Imejaa takwimu
- Inaonesha mwelekeo
- Inajenga umoja wa wa Africa
- Imesisitiza kuangalia namna ya kuwaangalia wenzetu Zimbabwe
- Marais wote wamesoma lakini kuna jamaa walivaa miwani ya mbao. Na kutokana na udogo wa akili zao wanajadili vitu vidogovidogo wanaacha issues.
- Yapo mengi hata wewe umeyasikia
Kuanzia sasa, hivyo vi elimu vyenu vya kuungaunga na vingereza vya Holliwood visiwatie wazimu. No research no right to speak.
Kuna watu wameshindwa kuficha upumbavu wao wamekimbilia kwenye lafudhi badala ya contents. Aidha, suala la kusoma wamefanya marais wote sio magu peke yake. Hata marais wakiotangulia ukiacha mzee mkapa wote wanasoma. Wekeni hotuba zao hapa tuone.
Acheni upumbavu na ushamba wa elimu zenu za kuungaunga. Hotuba imeenda shule na makofi yalikuwa kama mvua ukumbi mzima. Kama vipi kalambe malimao.
Queen Esther