101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,120
Ama hakika kila nabii na wakati wake na kizazi chake na watu wake.
Wakati wa uongozi wa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete tulishuhudia kuibuka kwa wimbi kubwa la watu au matabibu walikokuwa wakijinasibu kutibu watu magonjwa yao kwa njia mbadala ya miti shamba na TIBA lishe za mboga mboga za majani.
Wengi wao wakijiweka katika ku specialize magonjwa mbalimbali mpaka kufikia kujiita madaktari bingwa wa TIBA mbadala ikiwemo magonjwa sugu yasiambukiza, uzazi, wakina mama, watoto, vidonda vya tumbo na kadhalika
Ilikuwa haipiti dakika katika vituo mbalimbali vya radio na televisheni bila ya kuona au kusikia matangazo ya hawa madaktari bingwa na wengine kufikia hadi kununua muda wa hewani na kutengeneza vipindi vya robo Saa,nusu au hata Saa nzima wakipigia porojo za TIBA zao.
Je, madaktari hawa hivi sasa wapo wapi?
Hii ni list tu ya Wale wachache ninao wakumbuka
Dr.ISAACK NDODI
Dr.JUMA J MWAKA
Dr.NG'WIZUKULU JILALA
Dr.MTAMBA NA MUNGU
Dr.RAHABU MWALUBAGO
Dr.TINDWA
Prof.MAJI MAREFU
Dr.MATUNGE
Dr.NGETWA
Na wengineo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wa uongozi wa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete tulishuhudia kuibuka kwa wimbi kubwa la watu au matabibu walikokuwa wakijinasibu kutibu watu magonjwa yao kwa njia mbadala ya miti shamba na TIBA lishe za mboga mboga za majani.
Wengi wao wakijiweka katika ku specialize magonjwa mbalimbali mpaka kufikia kujiita madaktari bingwa wa TIBA mbadala ikiwemo magonjwa sugu yasiambukiza, uzazi, wakina mama, watoto, vidonda vya tumbo na kadhalika
Ilikuwa haipiti dakika katika vituo mbalimbali vya radio na televisheni bila ya kuona au kusikia matangazo ya hawa madaktari bingwa na wengine kufikia hadi kununua muda wa hewani na kutengeneza vipindi vya robo Saa,nusu au hata Saa nzima wakipigia porojo za TIBA zao.
Je, madaktari hawa hivi sasa wapo wapi?
Hii ni list tu ya Wale wachache ninao wakumbuka
Dr.ISAACK NDODI
Dr.JUMA J MWAKA
Dr.NG'WIZUKULU JILALA
Dr.MTAMBA NA MUNGU
Dr.RAHABU MWALUBAGO
Dr.TINDWA
Prof.MAJI MAREFU
Dr.MATUNGE
Dr.NGETWA
Na wengineo.
Sent using Jamii Forums mobile app