papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Huyu matunge lini 'alivuta'? Maana sijawahi kusikia mkuu.namvumi king,
Maji Marefu amefariki dunia, Matunge pia, wengine sijui
Fanya kwanza uchunguzi kisha ndio ulete uzi
Umemtaja Dr tamba na Mungu kazi yake ni mnajimu wa nyota na mambo ya majini na pete
Sio tiba mbadala
Watu wa Tiba mbadala ni
Dr juma mwaka
Dr Abdallah mandai
Dr John Lupimo
Dr sigwa
hawa ndio watu wa Tiba mbadal
Na mm ni mdau wao nimeshawai kutibiwa sana
Kwa kutumia mkaa
Muharobaini
Mdarasini
Asali nyuki wadogo
Shubiri ( alovera
Tunda la avacado
Majani ya sanamaki
Mm nawakubari sana uwa wanatibu chanzo
Sio wanatibu presha wanatafuta chanzo cha presha wanazibiti hapo kwanza
Moyo hakuna operesheni
Wanatibu kwanza chanzo cha ugonjwa wa moyo
Nawakubari sana kwa kutibu magonjwa sugu kwa kutumia mitishamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo 'wapigaji' wapyaAma hakika kila nabii na wakati wake na kizazi chake na watu wake.
Wakati wa uongozi wa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete tulishuhudia kuibuka kwa wimbi kubwa la watu au matabibu walikokuwa wakijinasibu kutibu watu magonjwa yao kwa njia mbadala ya miti shamba na TIBA lishe za mboga mboga za majani.
Wengi wao wakijiweka katika ku specialize magonjwa mbalimbali mpaka kufikia kujiita madaktari bingwa wa TIBA mbadala ikiwemo magonjwa sugu yasiambukiza, uzazi, wakina mama, watoto, vidonda vya tumbo na kadhalika
Ilikuwa haipiti dakika katika vituo mbalimbali vya radio na televisheni bila ya kuona au kusikia matangazo ya hawa madaktari bingwa na wengine kufikia hadi kununua muda wa hewani na kutengeneza vipindi vya robo Saa,nusu au hata Saa nzima wakipigia porojo za TIBA zao.
Je, madaktari hawa hivi sasa wapo wapi?
Hii ni list tu ya Wale wachache ninao wakumbuka
Dr.ISAACK NDODI
Dr.JUMA J MWAKA
Dr.NG'WIZUKULU JILALA
Dr.MTAMBA NA MUNGU
Dr.RAHABU MWALUBAGO
Dr.TINDWA
Prof.MAJI MAREFU
Dr.MATUNGE
Dr.NGETWA
Na wengineo.
Sent using Jamii Forums mobile app