Walaka kwa waumini wote wa bwana yule

Walaka kwa waumini wote wa bwana yule

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,014
Reaction score
6,832
1617459440321.png
 
Fanya kazi kijana upate riziki ya kulisha familia yako. Kuokoteza okoteza vitu mitaani na kuvileta humu kama hoja, haitasaidia ww kuendeleza maisha yako. Mbeleni mtakuja kuulizwa mliutumiaje ujana wenu na jibu lake itakuwa "niliutumia ujana wng kushinda mitandaoni kuandika vitu visivyo na maana just kuwafurahisha watu fulan". Kukimbia shule isiwe sabab ya ww kukosa maarifa akilini. So sad!
 
Fanya kazi kijana upate riziki ya kulisha familia yako. Kuokoteza okoteza vitu mitaani na kuvileta humu kama hoja, haitasaidia ww kuendeleza maisha yako. Mbeleni mtakuja kuulizwa mliutumiaje ujana wenu na jibu lake itakuwa "niliutumia ujana wng kushinda mitandaoni kuandika vitu visivyo na maana just kuwafurahisha watu fulan". Kukimbia shule isiwe sabab ya ww kukosa maarifa akilini. So sad!
Watu mnataka watu tuvunjike mbavu.
 
Kwa kiswahili chako kibovu hicho unadhani Kuna mtu atatishika? Walaka ni Nini?
Kwa taarifa yako na mataga wenzako, huyo unayembatiza kuwa " bwana yule" ni taa na Nuru ya ukombozi wa wale mliowabatiza na kuwaita "wanyonge" huku mkichukua Kodi zao kujineemesha!
Angalau alisaidia taarifa ficho kuwafikia wengine sio ninyi na musiba wenu kutwa mnamsifia mwendazake na kuwatukana wasio na hatia! Rudi class ukajifunze kutofautisha "l" na "r".
 
Kwa kiswahili chako kibovu hicho unadhani Kuna mtu atatishika? Walaka ni Nini?
Kwa taarifa yako na mataga wenzako, huyo unayembatiza kuwa " bwana yule" ni taa na Nuru ya ukombozi wa wale mliowabatiza na kuwaita "wanyonge" huku mkichukua Kodi zao kujineemesha!
Angalau alisaidia taarifa ficho kuwafikia wengine sio ninyi na musiba wenu kutwa mnamsifia mwendazake na kuwatukana wasio na hatia! Rudi class ukajifunze kutofautisha "l" na "r".
NIT PICKER at work-nafurahi umeelewa na kujitambua kwamba wewe ni msukule wa bwana yule
 
NIT PICKER at work-nafurahi umeelewa na kujitambua kwamba wewe ni msukule wa bwana yule
Uzuri ni kuwa wenye ubongo mithili ya biscuit nawadharau Sana! Ungeshukuru kwa darasa ulilopata Basi eeh! NIT PICKER ni dawa mpya ya nimonia? Lumumba kumenuna eeh! Na hivi bando zimeganda angani, huna nyimbo utaacha kuiimba!
 
Fanya kazi kijana upate riziki ya kulisha familia yako. Kuokoteza okoteza vitu mitaani na kuvileta humu kama hoja, haitasaidia ww kuendeleza maisha yako. Mbeleni mtakuja kuulizwa mliutumiaje ujana wenu na jibu lake itakuwa "niliutumia ujana wng kushinda mitandaoni kuandika vitu visivyo na maana just kuwafurahisha watu fulan". Kukimbia shule isiwe sabab ya ww kukosa maarifa akilini. So sad!
Hoja mjarabu kbs
 
Ndo madhara ya kuwa 28years alafu unakaa Ubungo kwa shemeji.
Akija anakwambia mwambie dadaako nimeshakula, namuomba chumbani.
 
Fanya kazi kijana upate riziki ya kulisha familia yako. Kuokoteza okoteza vitu mitaani na kuvileta humu kama hoja, haitasaidia ww kuendeleza maisha yako. Mbeleni mtakuja kuulizwa mliutumiaje ujana wenu na jibu lake itakuwa "niliutumia ujana wng kushinda mitandaoni kuandika vitu visivyo na maana just kuwafurahisha watu fulan". Kukimbia shule isiwe sabab ya ww kukosa maarifa akilini. So sad!
Msukule wa bwana yule
 
akili zenyewe zero, andika vitu vyako, wewe endekeza ujinga ujinga tu
Kuna kipya cha kuandika zaidi ya hekima hizo? Ningeuchukuwa ushauri wako kama wewe usingekuwa msukule wa bwana yule na kuwa kasuku wa kila asemalo. POLE.
 
Fanya kazi kijana upate riziki ya kulisha familia yako. Kuokoteza okoteza vitu mitaani na kuvileta humu kama hoja, haitasaidia ww kuendeleza maisha yako. Mbeleni mtakuja kuulizwa mliutumiaje ujana wenu na jibu lake itakuwa "niliutumia ujana wng kushinda mitandaoni kuandika vitu visivyo na maana just kuwafurahisha watu fulan". Kukimbia shule isiwe sabab ya ww kukosa maarifa akilini. So sad!
Hahahahah...nimefurahi sana
 
Msukule wa bwana yule
Ngoja nitaongea na shemeji yako akupe kazi ya kuangalia watoto wa dada yako hapo nyumban, maana ni kama unakula ugali wa bure tu afu unaingia mitandaoni kuandika ushuz.i
 
Ngoja nitaongea na shemeji yako akupe kazi ya kuangalia watoto wa dada yako hapo nyumban, maana ni kama unakula ugali wa bure tu afu unaingia mitandaoni kuandika ushuz.i
Muumini wa bwana yule utakuwa unapoteza mda wako huko wala siko
 
Back
Top Bottom