Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 31
2008-02-28 10:31:18
SOURCE: Nipashe
Note the date of issue. Hii ilishapita
Hebu Wana JF Angalieni Ushahidi huu katika Qur-ani Mungu anasemaje Sura 5 Aya Ya 3
Sasa hiyo Nyama ya Nguruwe ni Haramu sio tu kwa Waislam hata kwa Wenzetu Wakristo imekatazwa na ndio Maana Mnapata Maradhi Ya kila aina kazi kwenu kwa Wala Nguruwe.
Hebu Wana JF Angalieni Ushahidi huu katika Qur-ani Mungu anasemaje Sura 5 Aya Ya 3
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu
Sasa hiyo Nyama ya Nguruwe ni Haramu sio tu kwa Waislam hata kwa Wenzetu Wakristo imekatazwa na ndio Maana Mnapata Maradhi Ya kila aina kazi kwenu kwa Wala Nguruwe.
Kumbukumbu la Torati/ Chapter 14/8 8. na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse
Hebu Wana JF Angalieni Ushahidi huu katika Qur-ani Mungu anasemaje Sura 5 Aya Ya 3
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu
Sasa hiyo Nyama ya Nguruwe ni Haramu sio tu kwa Waislam hata kwa Wenzetu Wakristo imekatazwa na ndio Maana Mnapata Maradhi Ya kila aina kazi kwenu kwa Wala Nguruwe.
Kumbukumbu la Torati/ Chapter 14/8 8. na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse
Torati iliandikwa kabla Yesu Kristo hajaja duniani, hakutoa maagizo ya kutokula visivyokua na kwato sisi ni "Wakristo" sio "Wamusa".