HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,141 Sep 27, 2014 #2 Mkuu kuna kipindi inabidi ukubali matokeo, sababu ni hali halisi. Ukilazimisha sana unaweza ukawa mgonjwa wa akili ukizingatia kuna familia inakuangalia wewe
Mkuu kuna kipindi inabidi ukubali matokeo, sababu ni hali halisi. Ukilazimisha sana unaweza ukawa mgonjwa wa akili ukizingatia kuna familia inakuangalia wewe
SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,270 Sep 27, 2014 #4 mshana jr said: View attachment 188624 Click to expand... Halafu hata chai anakunywaga hapo hapo anaona sawa kabisa!Hivi mtu ukiwa maskini na mishipa ya ubongo unafumuka au vipi jamani?
mshana jr said: View attachment 188624 Click to expand... Halafu hata chai anakunywaga hapo hapo anaona sawa kabisa!Hivi mtu ukiwa maskini na mishipa ya ubongo unafumuka au vipi jamani?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,165 Reaction score 831,899 Sep 27, 2014 Thread starter #5 SHIEKA said: Halafu hata chai anakunywaga hapo hapo anaona sawa kabisa!Hivi mtu ukiwa maskini na mishipa ya ubongo unafumuka au vipi jamani? Click to expand... Uchafu ni tabia kuishi mazingira machafu ni kujitakia
SHIEKA said: Halafu hata chai anakunywaga hapo hapo anaona sawa kabisa!Hivi mtu ukiwa maskini na mishipa ya ubongo unafumuka au vipi jamani? Click to expand... Uchafu ni tabia kuishi mazingira machafu ni kujitakia
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,472 Sep 27, 2014 #6 mshana jr said: View attachment 188624 Click to expand... tabia ya kumpiga picha mjomba wangu sipendi
mshana jr said: View attachment 188624 Click to expand... tabia ya kumpiga picha mjomba wangu sipendi
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,165 Reaction score 831,899 Sep 27, 2014 Thread starter #7 MO11 said: tabia ya kumpiga picha mjomba wangu sipendi Click to expand... MO11 umeacha nicheke pekeyangu picha ile ya last week ilikuwa wewe hii mjombaako hahaaahaaaa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
MO11 said: tabia ya kumpiga picha mjomba wangu sipendi Click to expand... MO11 umeacha nicheke pekeyangu picha ile ya last week ilikuwa wewe hii mjombaako hahaaahaaaa
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,472 Sep 27, 2014 #8 mshana jr said: MO11 umeacha nicheke pekeyangu picha ile ya last week ilikuwa wewe hii mjombaako hahaaahaaaa Click to expand... tatizo unapita sana mitaa ya kwetu ndio maan hapo umechelewa kidogo na mimi nilikuwepo ila niliondoka siku nyingine uwahi Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mshana jr said: MO11 umeacha nicheke pekeyangu picha ile ya last week ilikuwa wewe hii mjombaako hahaaahaaaa Click to expand... tatizo unapita sana mitaa ya kwetu ndio maan hapo umechelewa kidogo na mimi nilikuwepo ila niliondoka siku nyingine uwahi
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,165 Reaction score 831,899 Sep 27, 2014 Thread starter #9 MO11 said: tatizo unapita sana mitaa ya kwetu ndio maan hapo umechelewa kidogo na mimi nilikuwepo ila niliondoka siku nyingine uwahi Click to expand... Hahahaaaa kuna siku tutakutana kama sio small garden basi itakuwa ulaya ulaya
MO11 said: tatizo unapita sana mitaa ya kwetu ndio maan hapo umechelewa kidogo na mimi nilikuwepo ila niliondoka siku nyingine uwahi Click to expand... Hahahaaaa kuna siku tutakutana kama sio small garden basi itakuwa ulaya ulaya