Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Hebu jikumbushe enzi hizo ukifungulia RTD kipindi cha majira ulikuwa huwezi kusikia majina ya watu wafuatao wakiwa wametoa amri au maagizo fulani kwa wananchi. Hawa wakuu walikuwa never miss kwenye taarifa za RTD:
- Samike wa Samike
- Salum Ngajurage
- Hussein Mashimba
- Peter Kangwa
- Col. Peter Madaha
- Pascal Mabiti
- Isidory Shirma
- Abbas Mchemba
- Mussa Nkhangaa
- Ditopile Mzuzuri
- Kiwanuka Ahmed