johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Juzi kupitia luminga ya channel ilionekana kamati inayosimamia ujenzi wa ofisi za walimu Dsm ilikabidhiwa mabati 80,000 kwa ajili ya kuezeka ofisi za walimu ambao ni ubunifu wa RC Makonda.
Na jana radio ya Magic fm iliripoti taarifa ya watanzania waishio Marekani wakichangia samani za ofisini zikiwemo meza za umeme, viti, kabati za vitabu na mazagazaga mengine kibao vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya USD 800,000 ambayo ni karibia sh bilioni 2 za kitanzania.
Kwa maana hiyo tutegemee ofisi za walimu kukamilika na kukabidhiwa mapema kuliko ilivyotarajiwa. Naomba mwenye updates za mafanikio ya fiesta - fursa kuanzia sokoni huko bara atujuze, hapa ktk jiji la Makonda akisaidiana na UKAWA tunaisubiri hiyo fiesta maana hapa ndio sokoni penyewe demand inapo exist!!
Na jana radio ya Magic fm iliripoti taarifa ya watanzania waishio Marekani wakichangia samani za ofisini zikiwemo meza za umeme, viti, kabati za vitabu na mazagazaga mengine kibao vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya USD 800,000 ambayo ni karibia sh bilioni 2 za kitanzania.
Kwa maana hiyo tutegemee ofisi za walimu kukamilika na kukabidhiwa mapema kuliko ilivyotarajiwa. Naomba mwenye updates za mafanikio ya fiesta - fursa kuanzia sokoni huko bara atujuze, hapa ktk jiji la Makonda akisaidiana na UKAWA tunaisubiri hiyo fiesta maana hapa ndio sokoni penyewe demand inapo exist!!