Maujohnsimba
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 243
- 222
Toa maelezo vizuri mkuu.. Akisha loeka kwa masaa matatu anaacha kwenye glass hapo af ndo anapona au..Analoweka kwa masaa 3 mkuu glass ya maji kijiko Cha chakula Cha basil
Toa maelezo vizuri mkuu.. Akisha loeka kwa masaa matatu anaacha kwenye glass hapo af ndo anapona au..Analoweka kwa masaa 3 mkuu glass ya maji kijiko Cha chakula Cha basil
Shukrani mkuuAnaloweka kwa masaa 3 mkuu glass ya maji kijiko Cha chakula Cha basil
Mkuuuu anakunywaToa maelezo vizuri mkuu.. Akisha loeka kwa masaa matatu anaacha kwenye glass hapo af ndo anapona au..
Powa powa.. Kwa siku anakunywa mara ngapiMkuuuu anakunywa
DuhMambo, mi nlikua nazo nilikua nalia kama dada yako... sijui zake zipo stage gan coz i hear kuna wanaotapika damu so at first nlikua nakunywa maziwa mixed na asali na kiini cha yai zinapoa in 10mins hvi... ila nikaona attacks zinazidi so nikamtafuta Rahab wa Fiterawa, honestly sijui kama ni dawa au ni vyakula that helped ila nimepona japo dawa sikumaliza but i was strict na yale masharti.... matatizo mengi ya vidonda ni acid inakua imezidi sana mwilini so inabidi detox ya mwili ifanyike.
Niliacha: wali, nazi, jamii zote za kunde, maziwa, mayai, nyama nyekundu, nyanya, pilipili, ndimu, mchcha, kisamvu, mboga zote zenye kijani kibichi,ndizi aina zote, chips,mihogo au chapati, karanga, korosho,maembe, nanasi, chungwa, passion, matunda yenye acid na mbegu nyingi kama mapera, no alcohol, no vinywaji vya baridi, hamna soda wala juice za matunda yaliyokatazwa, mtindi, uji wa ulezi, majani ya chai, kahawa, chumvi nyingi na magadi, usitumie dawa zenye acid, sulphur wala caffeine no sigara.
VINAVYOFAA:
Asubuhi:
Chai ya Soya au
Mchaichai
VITAFUNWA
mkate, andazi au vitumbua- atafune sana kabla ya kumeza
Mchana/Jioni
Ugali laini, viazi mviringo vya kuchemsha au tambi
Mboga
Kbichi, bamia, nyama nyeupe ila no dagaa
Carrot, vitunguu maji na saumu, hoho,
Matunda: tango, papai, tikiti na parachichi
Vinywaji: maji na juisi za matunda tajwa hapo juu
Asikae na njaa muda mrefu, ale kwa wakti na atafune vizuri aache stress...
Nimetype mpaka vidole vinauma. All the best kwake... kwa maswali pia nipo. Mpe pole hayo maumivu nayajua jamani
Sasa mimi mkate nikila ndo napata kiungulia! DuhHapana vitafunwa ni mkate, vitumbua na maandazi tu na utafune sana kabla ya kumeza
Ndo nn hizi sizifahamu msaada tafadhali!Painkiller tafuta BASIL SEEDS INAPONYA
Kuna Uzi humu wa majani ya mitishamba,kuna shuhuda za watu wameponaHavina dawa. Vinaweza kutulia ukijifunza kula kwa utaratibu.
Habari wakuu
Nina Dada yangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo ,huwa tumbo linamuuma mpaka namuonea huruma ,analia kama mtoto mdogo ,anasema anahisi tumbo linawaka moto hatarii ..!
Kwa anayejua dawa wakuu ni nini, kupunguza maumivu au tiba take kabisa msaada tafadhari.
Sasa mimi mkate nikila ndo napata kiungulia! Duh
Duh
Hasa mtu utakula nn kwa style hii?
Daktari mwingine anasema ule mboga za kijani hapa naona haitakiwi!
Aisee,sijui nifanyeje,ninateseka mno!
Kwa sasa kila nachokula napata kiungulia,hata ninywe maji!Unaweza kuu-avoid…
Duh kuna maziwa ya mbuzi?Maziwa ya mbuzi tumia kwa kuyachemsha kunywa bila kuunga chochote.
Ukitumia na karanga mbichi nyeupe utapata matokeo chanya zaidi.
Kwa sasa kila nachokula napata kiungulia,hata ninywe maji!
U can see hapa na avoid nn? Yaani ili nisipate kiungulia nisile kitu kabisa!
Upo sawa, but iwe Pure Bicabornate of soda isichanganywe na mchanganyiko mwingine.Simple dawa ya vidonda vya tumbo Ni baking powder ya chapa mandazi etc au baking soda..Shs 700 tu dukani..amimine kidogo tu mkononi alambe asubuhi mchana na jioni kwa siku chache tu tatizo litakuwa historia ..utakuja hapa kuleta mrejesho..baking powder Ina kitu kinaitwa Bicabornate of soda imendikwa kwenye box lake .. Bicabornate of soda ikiingia mwili ikikutana na acid tumboni inabadilisha na kuwa alkaline...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
1. Chukua Asali mbichi, samli pure, changanya nusu kwa nusu, atumie vijiko viwili asubuhi, mchana na usiku wakati wa kulala.Habari wakuu
Nina Dada yangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo ,huwa tumbo linamuuma mpaka namuonea huruma ,analia kama mtoto mdogo ,anasema anahisi tumbo linawaka moto hatarii ..!
Kwa anayejua dawa wakuu ni nini, kupunguza maumivu au tiba take kabisa msaada tafadhari.
Halafu huwezi amini nikipima kipimo kinaonyesha viko kwa mbali ndo kinachonishangaza hicho!Pole mama vyako viko stage mbaya zaidi