Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,052
- 49,693
Altezza, Brevis, Mark Xoooh safi..mfano gari gani ndogo ina mfumo huu mkuu?
Altezza, Brevis, Mark Xoooh safi..mfano gari gani ndogo ina mfumo huu mkuu?
Shukrani mkuu,sasa hizo gear za manual huwa wanaziweka za nini?
Kwa hiyo auto ina uwezo wa kulitoa gari katika kikwazo chochote kile kama vile matope,utelezi,makorongo,vilima na kadhalika?Huwa mara zote ni ili kumpa mteja Flavor zote kwa pamoja. Kwani kuna watu wanapenda tu manual kwaajili ya kufanya maneuvers , wakati watu wengine wanapenda Auto kwasababu unaendesha gari kwa utulivu na unaConcetrate zaidi na Steering na barabara badala ya kuwa bize na gia
Ndio.Kwa hiyo auto ina uwezo wa kulitoa gari katika kikwazo chochote kile kama vile matope,utelezi,makorongo,vilima na kadhalika?
Shukrani mkuu!Ndio.
Chukulia mfano gari yako ni 4-Speed AUTO.
Unapoanza kuondoka Automatically inaanza na gia no. 1 yenyewe.
Unapoendelea kwenda na kukanyaga mafuta inapandisha Gia kwenda gia no.2,....3.....4 yenyewe.
Unapokuwa kwenye mlima basi kulingana na mwendo wa gari ,mwinuko na ukinzani uliopo, gari lenyewe litashusha gia na kuweka gia yenye nguvu kama vile gia no. 2 au no. 1 ambayo ndio L.
Kwenye Tope, unapokuwa unakanyaga mafuta taratibu basi gari lenyewe litaendelea na gia ya kwanza (L) ambayo ndio gia yenye nguvu pia.
Gari yake haina D2 wala D3. Kuna D na option ya 'manual' which is really semi automaticD ni gia Salama kabisa ambayo Gari inajipangia kupandisha ama kushusha Gia yenyewe kulingana na Mwinuko na Mwendokasi. Usiwaze kabisa.
Kwenye mteremko mrefu ambao unahitaji kushikilia brake kwa muda mrefu bila kuachilia, unashauriwa kutumia gia ndogo kama vile D3 au D2 ili kuLimit speed (kwa kutumia Engine Braking) na kuepusha brake pads kuOver Heat na kuisha ovyo.
Dah!Sijui mimi nina matatizo gani,yaani sitaki kabisa kuiamini D katika kupanda milima mikali!
Gari zote ndogo unazoziona huko barabarani zina mfumo huu.Gari za sasa hivi zaidi ya asilimia 95 zinatumia mfumo huu.
Hiyo itakuwa BMWWeka gear kwenda D we cheza na mafuta na break tu.
Shukrani mkuu,sasa hizo gear za manual huwa wanaziweka za nini?
😄🏃🏃🏃Tafuta Dereva Akuendeshe Wewe Mwenyewe
Upate Muda Wa Kuangalia Chura 😂😁
Hivi mkuu S ni sawa na M?Kazi ya S ni nini?Ukiweka M pale kwenye dashboard huwa panaanza na gear namba moja by default,sasa ukiweka S pale kwenye dashboard huwa panaanza na gear namba ngapi?Nyingi tuu hazina, na nyingine badala ya M +/- zina S +/- kwa mm nimeona gari za kuanzia 2001 ndio baadhi zinazo
Mimi sina shida na hii part ya manual,shida yangu ni kuwa je ninaweza kupanda milima yote kwa kutumia D peke yake bila ya kucheza na hizo + and - ?(manual)Kimsingi unasogeza kirungu huko pembe na kazi yako ni kupush kwe + au - lakini pia Gia hiyo bado ipo automatic
Unamaanisha nini mkuu?Unamaanisha kuwa siwezi kupanda milima yote kwa kutumia D peke yake?Hiyo itakuwa BMW
S ni Sport mode...ukitaka ligi na mtu unamuwekea hio. Gari inakuwa sporty kiaina. Gear ni zile zile.Hivi mkuu S ni sawa na M?Kazi ya S ni nini?Ukiweka M pale kwenye dashboard huwa panaanza na gear namba moja by default,sasa ukiweka S pale kwenye dashboard huwa panaanza na gear namba ngapi?
1. Ndio. Weka D kisha cheza na steringi, wese na breki, ukifika weka P.
2. Hakuna madhara yoyote.
Mzungu alivyoweka, ni kwamba penye kuhitaji gear ndogo gari itaweka gear ndogo penye gear kubwa itaweka kubwa.
Hizo Manual ni fancy mtu akipenda kucontrol gari lakini haita maanisha kwamba ndio ya kupanda mlima au bonde.
We control speed tu. Usikimbizane kama mashindano maana umesema wewe sio mzoefu.
Sasa kaka nikitaka ligi na mtu si ninaweka overdrive(OD)?Tofauti ya S na OD ni nini?S ni Sport mode...ukitaka ligi na mtu unamuwekea hio. Gari inakuwa sporty kiaina. Gear ni zile zile.
Modern cars hazina hio kitu.Sasa kaka nikitaka ligi na mtu si ninaweka overdrive(OD)?Tofauti ya S na OD ni nini?