Wakuu nipo Mikumi, naomba kujuzwa sehemu salama za kutembelea

Wakuu nipo Mikumi, naomba kujuzwa sehemu salama za kutembelea

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,379
Reaction score
3,152
Kikazi nimepata tuor makini sana, tafadhali wakuu ni maeneo gani muhimu ya kuzuru? mana kuna session 1 ya kupewa utawala binafsi nikaona niwacheki familia humu. Asante
 
kikazi nimepata tuor makini sana, tafadhali wakuu ni maeneo gani muhimu ya kuzuru? mana kuna session 1 ya kupewa utawala binafsi nikaona niwacheki familia humu. Asante
Hongera yako, jitahidi kuandika vizuri kichwa cha habari
 
kikazi nimepata tuor makini sana, tafadhali wakuu ni maeneo gani muhimu ya kuzuru? mana kuna session 1 ya kupewa utawala binafsi nikaona niwacheki familia humu. Asante

Hebu rudia tena kuandika tuelewe point yako..
 
kikazi nimepata tuor makini sana, tafadhali wakuu ni maeneo gani muhimu ya kuzuru? mana kuna session 1 ya kupewa utawala binafsi nikaona niwacheki familia humu. Asante
Uko Mikumi mbugani au mjini?
 
Tafuta boda boda umlipe vizuri, atakupeleka chimbo kali; kwenye pori la pisi kali
 
point yangu ni kua nataka enda mikumi mjini nikiwa hapa mbugani nikajipumzishe

Huko ndani ya mbuga umefikaje?

Maana kuna namna mbili ya kuwa mbugani ambazo ni kupitia makampuni ya tour au usafiri binafsi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom