naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,275
Pole sana mkuu, mbona kuna warembo kibao humu sogeza mmoja kama yeye ulimpatia humu use same method, kama yeye kamwaga mboga mwaka ugali kwani nini? Maisha mafupi haya
Sasa unashindwa nini kupick mmoja kati ya hao unaowakot? Mbona mashori wengi humuImagine unaachwa bila sababu ya msingi inauma sana mkuu mimi nampenda kuliko mwanamke yoyote. Sijawahi waza kua na mwanamke mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasifu wa sifa siyo sifa ya hiari
Njoo upate maarifa hii siyo taarifa ya habar/
waigizaji wanaigiza kaole CD dukani
wakina dada wanaigiza ulokole mili buchani/
Ushauri wangu achana naye najua inauma ila vumilia kaza buti, ukiona mwanamke anakufanyia vituko bila sababu jua anakuona we boya tu kuna mtu anayemuona mjanja utageuka kuwa mtumwa wa pendo lake. Just move on japo inauma but never look back...
Futa namba yake
Futa picha zake
ondoa lolote litakalokufanya umkumbuke hata miziki ile aliyopenda ipotezee
Itabidi afanye hivi lah sivyo atageuka mtumwa wa mapenzi na jinsi atakavyoendelea kumlilia ndivyo atazidi mfanya boya...Akizingatia hili amewin
Naomba nitumie namba yake halafu nakwambia ukweli atarudi mwenyewe
Ni kweli umepata mjanja?Akizingatia hili amewin
nilikazia point hii, za juu hazihusuNi kweli umepata mjanja?
Mvulana
Eti utakua mgeni wa nani
Kwanini amekuacha?