SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,190
- 9,822
Wanaugonjwa unaitwa maniaHivi sasa na kuendelea tunaishi humu.
Maana watu ni wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi.
Wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema.
Wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu.
Wafiraji, wafirwaji, wajuaji Yani ni vurugu tupu.
Malezi bora ndio hufanya watu kuwa wema na imani ya Mungu hufanya watu kuwa wanafkiDini hazisaidii kushape watu kuwa wema bali waoga wa kisichooneakana. Imani na Utii kwa Mungu ndio hufinyanga watu kuwa wema
Malezi bora pekee hayatoshi,Imani kwa Mungu humpa mtu nguvu ya kuuishi wema consistently!Malezi bora ndio hufanya watu kuwa wema na imani ya Mungu hufanya watu kuwa wanafki
Huu utumbo umeandika sio kazi yangu kutoa pumba za kiimani ukizojifunza toka ukiwa mtoto ,hivyo unaweza kujifunza mwenyewe kama una akili.Malezi bora pekee hayatoshi,Imani kwa Mungu humpa mtu nguvu ya kuuishi wema consistently!
Eeeeh ndugu yangu aaaniAhahaa! Mambo yasiwe mengi Mkuu.
Wameyakataa mafundisho yakeJiulize hali hii imekuwa vipi angali dini zimezagaa za kila aina.
Sana nimepona mania kwakweliKama ni hivyo basi Mania ni hatari Sana Mkuu.