Wakuu nauza UNGA wa uji lishe

Wakuu nauza UNGA wa uji lishe

mew 123

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2024
Posts
307
Reaction score
193
Habari
Katika harakati za kujitafuta nimeamua niingie kwenye ujasiriamali ambapo natengeneza uji mzuri wa uji wa lishe ambao una faida kiafya kulingana na viambata vyake ambavyo nimetumia
IMG_20250723_144254_741.jpg

UNGA huu unatumiwa na watu wa rika zote kuanzia watoto wadogo Hadi watu wazima
Lakini pia una faida Kwa wale ambao wanaumwa magonjwa yasiyoambukiza na pia mama wajawazito
Napatikana dar es salaam Kwa mikoani tunaagiza kuanzia kilo Tano
# kilo inauzwa 5000/-
# nusu kilo 2500/-
# Kwa dar ukiagiza unaletewa kuanzia kilo Moja
# mawaailiano 0686153806

IMG_20250723_144309_066.jpg
 

Attachments

  • IMG_20250723_144251_495.jpg
    IMG_20250723_144251_495.jpg
    441.7 KB · Views: 16
  • IMG_20250723_144252_836.jpg
    IMG_20250723_144252_836.jpg
    421.8 KB · Views: 17
  • IMG_20250723_144245_091.jpg
    IMG_20250723_144245_091.jpg
    463.8 KB · Views: 15
Back
Top Bottom