Wakuu nataka kununua gari kwa Mara ya kwanza na ninaishi mazingira ambayo ni rough kiasi. Naomba kujua ni gari gani dogo linaweza kuvumilia

V
Vipi Mitsubishi io au hata mini yenye 4WD kama pesa yake ni ndogo zaidi. Vina nguvu alafu viko juu juu avilambe ardhi hata barabara ikiwa ya hovyo. Shida yake spear ila hayaharibiki hovyo hovyo, body za Mitsubishi asilimia kubwa ni chuma ngumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…