Habari wakuu!napangisha nyumba ipo Iringa mjini ni ya vyumba 4(self contena)kodi laki2 kwa mwezi napokea miezi6 mpaka mitatu umeme na maji yapo ya uwakika pia ina uzio wa ukuta kwa mwenye uwitaji aweza kuni pm.
Asanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.