Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

Wakuu naombeni ushauri juu ya course ya Environmental Engineering

Hiyo na civil eng. Vipi mkuu...?
Unapoongelea civil engineering ni moja ya kozi MAMA za kihabdisi baada ya mechanical na electrical!!

Kwa kifupi hata environmental engineering ni subset ya civil!!

Env engineering is good lakin kwa kitanzania huwezi ilinganisha na civil! Kwann nasema hivi...

Angalia tokea JIWE ameingia madarakan ni kazi ngapi za env engineering zimetolewa? Jibu ni hamna!!

Env inaweza kuwa na dili sana tu ila kwa private, na ukipata pande lake shida utasahau!!

Mimi nakushauri kama marks zinaruhusu nenda kasome moja ya hizi kozi... (nimepanga kwa order...)

1. Civil engineering
2. Electrical
3. Water resources (ipo SUA na chuo maji ubungo)
4. Mechanical
5. Architecture ipo ardhi.

Kila la heri mhandisi mtarajiwa.
 
Unapoongelea civil engineering ni moja ya kozi MAMA za kihabdisi baada ya mechanical na electrical!!

Kwa kifupi hata environmental engineering ni subset ya civil!!

Env engineering is good lakin kwa kitanzania huwezi ilinganisha na civil! Kwann nasema hivi...

Angalia tokea JIWE ameingia madarakan ni kazi ngapi za env engineering zimetolewa? Jibu ni hamna!!

Env inaweza kuwa na dili sana tu ila kwa private, na ukipata pande lake shida utasahau!!

Mimi nakushauri kama marks zinaruhusu nenda kasome moja ya hizi kozi... (nimepanga kwa order...)

1. Civil engineering
2. Electrical
3. Water resources (ipo SUA na chuo maji ubungo)
4. Mechanical
5. Architecture ipo ardhi.

Kila la heri mhandisi mtarajiwa.
Ahsante mkuu
 
Write your reply...mkuu iyo ya kisenge kwa upande wa ajira Nami nimechaguliwa pale udom ila siend naenda kupiga civil kapige utaona unavyo hustle kazi utadhn umelogwa kumbe cozi ulyipiga
Umechaghuliw ila ujaisoma utajuaje kama si nzuri afu jifunze kutumia lugha nzuri kulingana na mazingr sasa ya kisenge ni lugha gan
 
Write your reply...mkuu iyo ya kisenge kwa upande wa ajira Nami nimechaguliwa pale udom ila siend naenda kupiga civil kapige utaona unavyo hustle kazi utadhn umelogwa kumbe cozi ulyipiga
Wewe njuka ambaye hata U.E moja hujafanya acha dharau.
Hapo ulipo bado unanuka harufu ya kisekondari sekondari.
 
Ushauri wenu juu ya course hiyo
Nenda ukasome kijana.

Hiyo course ni course nzuri sana tena sana.


Halafu ina uwanda mpana sana wa kuajiriwa na kujiajiri, hakuna ofisi /taasisi au kiwanda chochote kikubwa ambacho hakiwezi kosa environmental engineer.
 
Environmental Eng. Cdhan km ipo Udom lkn alisema amepangiwa udom kuna bachelor of Environmental science
 
Nenda ukasome kijana.

Hiyo course ni course nzuri sana tena sana.


Halafu ina uwanda mpana sana wa kuajiriwa na kujiajiri, hakuna ofisi /taasisi au kiwanda chochote kikubwa ambacho hakiwezi kosa environmental engineer.
Shukran mkuu
 
Nenda ukasome kijana.

Hiyo course ni course nzuri sana tena sana.


Halafu ina uwanda mpana sana wa kuajiriwa na kujiajiri, hakuna ofisi /taasisi au kiwanda chochote kikubwa ambacho hakiwezi kosa environmental engineer.
Mkuu wat abt civil....?
 
Shukran mkuu
Pia kwa manufaa zaidi, ukisoma E.E unaweza ukaajiriwa kama

1)Surveyor

2)Water Engineer

3) Una uwezo wa kufanya baadhi ya kazi za civil engineer

4)Environmental Impact Assesment - Hakuna project kubwa yoyote mfano ujenzi wa barabara au majengo ambayo haimuhusishi Environmental Engineer.

Yani kuna mambo mengi sana mpaka naoana uvivu kuyaandika yote , kwa maelezo zaidi njoo PM.
 
Mkuu wat abt civil....?
Civil zilipendwa asikudanganye mtu, vitu vingi anavyosoma Civil hata EE anasoma , na EE ni kozi kiraka hiyo sehemu yoyote unaajiriwa iwe hospitalini (As sanitation engineer), viwandani ,kwenye mambo ya ujenzi etc.
 
Civil zilipendwa asikudanganye mtu, vitu vingi anavyosoma Civil hata EE anasoma , na EE ni kozi kiraka hiyo sehemu yoyote unaajiriwa iwe hospitalini (As sanitation engineer), viwandani ,kwenye mambo ya ujenzi etc.
So vitu anavyo soma civil pia EE na yy anavisoma baadhi...?
 
Back
Top Bottom