Jamaa yangu kasema kunamjadala unaendelea anasema upo uwezekano wa kuongeza nafasi ngoja tusubiri.
mi kwa taarifa nilizozipata jana, eti watu washaanza kufanya kazi, tena wamepangiwa shift ya jioni na asubuhi.
Ndugu kama hayakuhusu kaa kimya usiongee pumba