Masokwe
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 451
- 676
Hello wakuu mambo vip.
Tafadhali wale wazoefu, naomba kujua makadirio ya haraka haraka kwa msingi tuu, wa ramani hii maana pesa ni za kudunduliza.
Makadirio ya tofali
Makadirio ya mifuko ya cement
NA nondo za lenta ya msingi
Pia na ufundi.
Nyumba ukubwa ni meter 80
Kamjengo nataka kuweka chanika, maana nshachoka kuishi kwenye nyumba ya mshua.
Asanteni sana
Tafadhali wale wazoefu, naomba kujua makadirio ya haraka haraka kwa msingi tuu, wa ramani hii maana pesa ni za kudunduliza.
Makadirio ya tofali
Makadirio ya mifuko ya cement
NA nondo za lenta ya msingi
Pia na ufundi.
Nyumba ukubwa ni meter 80
Kamjengo nataka kuweka chanika, maana nshachoka kuishi kwenye nyumba ya mshua.
Asanteni sana