wakuu msaada wa haraka tafadhali

wakuu msaada wa haraka tafadhali

one b

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2017
Posts
1,669
Reaction score
4,047
moja kwa moja kwenye mada wadogo zangu wawil walifanya chaguz za course zao lakin kwa bahati mbaya hawakuchaguliwa..hivyo kufanya niwasaidie kuomba kwa mara ya pili (second round) niliingia kwenye account zao na kubadilisha course zao na kujaza nyingine....mmoja alisoma CBG na kupata div 2 ya points kumi..hyu nilimuombea udsm, sua na ardhi kwa kubadilisha course na iliasije kukosa nikamuombea na ifm ...cha ajabu mpaka sa hiv ukiingia kwenye acc yake naona course zake kama nilivyojaza...hazioneshi kuwa yupo admitted au kama kakosa...hapa nawaza kwenda moja kwa moja tcu...na mwingine ni wa TIA nae ni hivyo hivyo...nitakuwa nimekosea wapi? nawasilisha
 
moja kwa moja kwenye mada wadogo zangu wawil walifanya chaguz za course zao lakin kwa bahati mbaya hawakuchaguliwa..hivyo kufanya niwasaidie kuomba kwa mara ya pili (second round) niliingia kwenye account zao na kubadilisha course zao na kujaza nyingine....mmoja alisoma CBG na kupata div 2 ya points kumi..hyu nilimuombea udsm, sua na ardhi kwa kubadilisha course na iliasije kukosa nikamuombea na ifm ...cha ajabu mpaka sa hiv ukiingia kwenye acc yake naona course zake kama nilivyojaza...hazioneshi kuwa yupo admitted au kama kakosa...hapa nawaza kwenda moja kwa moja tcu...na mwingine ni wa TIA nae ni hivyo hivyo...nitakuwa nimekosea wapi? nawasilisha
Mkuu hata dogo wangu hivyohvyo.
 
kwa ardhi me kenye account hawakunituma kitu ila kwenye hyo pdf ya waliochaguliwa ipo kwnye website yao nmelikuta jina langu hapo
 
ingia kwa website zao angalia majina, mfano SUA watu wamechaguliwa majina yapo lakini kwenye akaunti hawajaonesha kama umechaguliwa, so tembelea majina.
 
hapo ukienda TCU unajisumbua tu.. watakujibu hatuhusiki basi
 
hapo ukienda TCU unajisumbua tu.. watakujibu hatuhusiki basi
Mkuu lazima niwatimbie sio kwa usumbufu huu...yan lazima nikateme nyongo kuwawakilisha watanzania wote..
 
ingia kwa website zao angalia majina, mfano SUA watu wamechaguliwa majina yapo lakini kwenye akaunti hawajaonesha kama umechaguliwa, so tembelea majina.
Asante mkuu...nimeona amechaguliwa vyote udsm microbiology, ardhi building economics, ifm banking and finance...lakin amelia sana...na pia nimeteseka sna na huu udahili..anyway ni kushukuru kwa hilo pia
 
kwa ardhi me kenye account hawakunituma kitu ila kwenye hyo pdf ya waliochaguliwa ipo kwnye website yao nmelikuta jina langu hapo
Hongera sana mkuu..mkajitahid kusoma sasa
 
Mkuu hata dogo wangu hivyohvyo.
mkuu fata ushauri..ila kwa sas hiv udsm, ardhi kwenye acc wameachia...ifm majina tu..kwenye acc hawajaweka notification yyte weither ur addmted or not...
 
Back
Top Bottom