Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,328
- 2,242
Ngoja wakuu watakuja kutupa msaada make ni hatari aseeKama yako 6.0.1
Simu zenye locked bootloader ni mpaka u unlock kwanza Kisha Ndio u root.Wapendwa naombeni msaada wenu niweze kuroot simu yangu, ni sony xperia z3 compact running android 6.0.1, nimejaribu kingoroot wapi, ila sijajaribu king root make sipend king user mi nahitaji super user mwenye ujuzi tafadhali anipe mwongozo.
Ni D5803Simu zenye locked bootloader ni mpaka u unlock kwanza Kisha Ndio u root.
Cha kwanza kabisa ni kujua ni model gani ya z3 compact unayo, nenda setting Kisha about kuangalia.
Bro na unlock vipi bootloader mwongozo tafadhaliSimu zenye locked bootloader ni mpaka u unlock kwanza Kisha Ndio u root.
Cha kwanza kabisa ni kujua ni model gani ya z3 compact unayo, nenda setting Kisha about kuangalia.
Shukrani mkuu ngoja nipitie nioneKuroot simu za Sony hasa za Android 6 kwenda juu kuna risk kubwa sana. Ni lazima uwe na PC na lazima ku unlock bootloader. Simu hzi sikuhz zina secure boot, ukiroot bila kuzima secure boot na ku unlock bootloader simu yako haitawaka.
Sahau kingoroot na king root hzo haiziwezi fanya kazi kwenye hyo simu (hzo app ni za zamani na zinafanya kazi kwenye android version za zamani na zisizokua na security nzuri)
Unatakiwa kutumia Magisk (hii ndio njia inayoshauriwa sikuhz) au Supersu flashsble zip. Unatakiwa kuwa na TWRP kurahisha kazi na kujiokoa kma simu itakapogoma kuwaka.
Pia kaa ukijua kua ukiroot utapoteza DRM keys na device certification kwenye playstore na utapoteza Safetynet pia. Hapa apps kma Netflix, Prime Video, Dstv now, na baadhi ya banking apps hazitafanya kazi kwenye simu yako. DRM keys zako unaweza kuziback up na Safetynet unaweza ipata pia kwa viprocess flani hvi ila bado sio uhakika kma hzo app hapo juu zitafanya kazi.
Ukitaka kuroot kwanza utahitaji twrp ya simu yako: [RECOVERY][UNOFFICIAL] TWRP 3.2.3-0 for aries [01-09-2018]
Pili fata haya maelezo kuinstall magisk na kuhifadhi DRM keys zako: [Solved] Magisk?
Hakikisha unasoma maelekezo vizuri na upo na PC na una stock firmware ya simu yako.
Pia kma Chief alivyosema hapo ujue model number ya simu yako na ipo kwenye software yenye build number gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza mkuu it's very risk kama huna uelewa wa haya mamboNi D5803
Shukrani sana mkuu nkikwama ntaleta mrejesho hapaKwanza mkuu it's very risk kama huna uelewa wa haya mambo
Pili uwe familiar mwenyewe kutumia flash tools kwa Sony Pia siku hizi kuna mbadala wa flash tool inaitwa new flasher yenyewe ina risk ndogo zaidi
Tatu uwe familiar na kwenda fastboot, recovery, debuging mode etc
Nne aina ya kuflash kwa Sony ni tofauti kuna vifile ukiflash kama simu zamani ilikuwa na lock inarudi
Tano, fanya backup including Drm keys, Sony wanazifuta automatic unaporoot inaweza kukusumbua baadae ukiweka apps zinazotaka Drm kama Netflix.
Tutorial hii hapa fuata kwa umakini.
Recovery & Root for MM .575 & .291 LB
Hello my friends, i'm glad to present you utility for installing custom recovery & root to your phone, working on stock MM .575 LB You don't need root on your phone to run this utility! How-to: * you need stock MM .575 or .291 firmware * if you...forum.xda-developers.com
Hakikisha firmware yako ni kama hizo zilizotajwa.
Mkuu nimepita pita huko Google nimetishwa bora niwe mpore tu aseeNunua Samsung tu ndo simple ku root.
Mkuu nimepita pita huko Google nimetishwa bora niwe mpore tu asee
Sema sikuhz kuroot hakuna maana kivile. Labda kma simu yako ipo kwenye android ya zamani. Sikuhz sana sana ni kunlock bootloader na kuflash custom ROMs.Hizi mambo nilicheza nazo 2013 kwenye htc na samsung, sasa kweli naamini nimezeeka.
Kma hujui mambo ya kuflash simu kupitia fastboot, kutumia adb au jinsi ya kutumia twrp ni bora usifanye haya mambo kwenye simu yako unayotegemea. Mm nilishaua simu kma 3 hvi miaka iliyopita huko lakini matokeo yake ni kwamba nikaelewa jinsi ya kucheza nazo vizuri. Moja ya hizo simu niliwabambikizia Tecno wananibadilishia chini ya warranty na zingine hzo mbili nilikuja kuzirevive kma mwaka mmoja baadae hvi.Mkuu nimepita pita huko Google nimetishwa bora niwe mpore tu asee
Yan mimi nia yangu ilikuwa baadae niweke linage os lakini na huko Google nimekuta wanasema et lazima uwe na password za bootloader sasa naona suala linazidi kua gum tu.Kma hujui mambo ya kuflash simu kupitia fastboot, kutumia adb au jinsi ya kutumia twrp ni bora usifanye haya mambo kwenye simu yako unayotegemea. Mm nilishaua simu kma 3 hvi miaka iliyopita huko lakini matokeo yake ni kwamba nikaelewa jinsi ya kucheza nazo vizuri. Moja ya hizo simu niliwabambikizia Tecno wananibadilishia chini ya warranty na zingine hzo mbili nilikuja kuzirevive kma mwaka mmoja baadae hvi.
Kma hauko tayari na risk ya kuharibu simu na hauna mtu wa karibu anayejua haya mambo ni bora uache tu.
Kuroot na kuflash anza na Tecno (maana hizo hata ukiharibu unaenda calcare wanakuflashia original firmware vizuri tu) na Samsung or Xiaomi ndio rahisi kuroot na kuflash.
Sent using Jamii Forums mobile app